Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Sheria ya Mtoto (The Law of the Child Act) inasema kila mtoto ana haki ya kuitwa kwa ubini wa baba ake. Kumnyima mtoto kuitwa kwa ubini wa baba ake ni kumnyima mtoto haki yake ya msingi. Mtoto hawezi kuitwa kwa majina ya mtu mwingine bila huyo mtu kumu-adopt kisheria mtoto huyo.

Na kwa utaratibu ukianza clinic ile kadi ya clinic inaandikwa jina la baba na hata kwenye tangazo la kuzaliwa. Sasa huyu bi maza yeye anaruka kama bisi haeleweki wakati interview za zamani walikua wanasema Dai alikua anaenda kudai hela za ada kwa mzee Abdul ananyimwa ndio chanzo cha yy kumchukia baba yake. Sasa hizo ada kwa nini asingekua anaenda kudai kwa mzee Nyange.
Yaan hii familia ni majanga tupu, haileweki kabisa mambo yai hovyo tangu mzazi had watoto.
 
Sasa ni nini hiki huyu mama kuanika vitu hovyo hivi ilihali mzee nyange alishafariki, walikuwepo wapi muda wote ule
 
Ukisikiliza hii interview za Queendalin utafahamu kuna shida pahali ama anatumika kumuharibia mwanawe kwa hasira zao wazazi au kuna kitu hakifahamiki na media sijui zinakwama wapi kumfanyia mahojiano mama dangote.
 
Huyo bwana Abdul na mama mond hiki kitu wanakijua toka mwanzo na huenda ndiyo chanzo cha huyo Mzee kumbagua mond, na kama alimchumbia akiwa na mimba ilipaswa ampende tu, sasa kama alimbagua na mtoto mwenyewe kaja kutoka unategemea nini lazima utoswe, pole yake akomae na wanaye huyo amwache na maisha yake
 
Kuna mwingine namuona kama hiyo picha, kamkuta dada anamtoto kamuoa, baadaye kaanza kumbagua mtoto na kibaya zaidi majina yanafafa lamzazi wa mtoto na Baba mlezi, sasa huyo mtoto siku akiwa na mafanikio si ndiyo chuki inakuwa kubwa? Ni mdogo lakini analijua hilo kama anabaguliwa peupe
 
Huyo bwana Abdul na mama mond hiki kitu wanakijua toka mwanzo na huenda ndiyo chanzo cha huyo Mzee kumbagua mond, na kama alimchumbia akiwa na mimba ilipaswa ampende tu, sasa kama alimbagua na mtoto mwenyewe kaja kutoka unategemea nini lazima utoswe, pole yake akomae na wanaye huyo amwache na maisha yake

Huyu ni Sandra muongo sana ukimsikiliza mara alikubali mimba mara alikataa mara alimlea lipi ni lipi?! Na Huyu baba kamlea mpaka form 1 kisa cha kugombana na ni Sandra ni kukuacha na kwenda kulala kwa wanaume wengine anarudi asubuhi Ndio kugombana na mwanaume kusepa how useme hakumlea?!
 
Hali ingekuwa tofauti kama Mzee Abdul angekuwa Mfanyabiasha tajiri, ila inapokuwa kinyume chake ni changamoto.

Nakumbuka miaka kadhaa nyuma nikiwa Mfanyakazi kwenye Kampuni moja kuna Mfanyakazi mmoja ilitoka taarifa kuwa ni Mtoto wa Tajiri mmoja wa hapa Arusha ingawa Binti alikuwa na maisha yake na Tajiri anaishi kivyake na familia yake huko....sasa habari zilienea vipi anayejua ni huyo Binti....sasa ungejiuliza ni kwa nini Binti alikuwa anatumia nguvu kumtambulisha Mtu tofauti na kule anapoishi....jibu ni simpo tu "Pesa/umaarufu"
 
Huyu ni Sandra muongo sana ukimsikiliza mara alikubali mimba mara alikataa mara alimlea lipi ni lipi?! Na Huyu baba kamlea mpaka form 1 kisa cha kugombana na ni Sandra ni kukuacha na kwenda kulala kwa wanaume wengine anarudi asubuhi Ndio kugombana na mwanaume kusepa how useme hakumlea?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo bi Sandra alikuwa anaongoza kwa kulalizya haa haa haa mambo haya jamani, ukiwa na pesa lazima vitu viibuke tu.
 
Mi nachompenda diamond ni very smart.. watu wangejua mambo yote yanapangwa haya kuteka instagram na kuingiza pesa youtube..

Harusi ya esma na msizwa ni planned, haya maneno ya rikado momo nina uhakika ni planned... yaani wanapiga hela kiurahisi sana zama hizi za social network

Umbea unakutajirisha fasta ukijua kuutumia. Diamond na familia yake wanalijua hilo..ndio wanawapa umbea sasa kama huo wa kuzua tu

Umbea umempa shigongo utajiri

Umbea umewapa watu wengi ajira wanaendesha magari mazuri na wanajenga kina juma lokole, carry mastory, kumbuka, shilawadu etc
Anapataje hela kuidhalilisha familia yake ?
Au umeshasubscribe WASAFI kila kinachohusiana na diamond unaona sawa tu?
 
Nani ana stress kati ya mimi na wewe, watu wanajibu kwa hoja umekazania matusi. Kafirwe huko achana na mimi.
Mama diamond na mzee Abdul nani kapoteza? Utaishia kuwa kama yeye tu huna mbele wala nyuma. Mama anakula maisha na umalaya wake.
Na wewe kuwa Malaya maana unanionea wivu...matako wewe
Duh aise basi jamani inatosha

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Uhoro mtupu, Huyo mama alitegemea mzee Abdul akubali mimba isiyo yake?
Nimesikia, yaani mpaka sasa bado sijaelewa kwamba mzee abduli alimkuta na mimba au yule mama alimsingizia mimba au sababu za kutokumtunza ndio zimesababisha asiwe baba?
 
Back
Top Bottom