Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Wekeza babu usije kuwa mzigo kwetu pension ikiisha. Alafu yule demu wako wa JF usikute anakuchuna tu. Tulia na bibi SkyIkiisha usinisahau katika njia zako. Na Bwana atakubariki, asema Bwana.
Ndio huyu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duh kumbe ndio mama diamond huyo? Ndio maana anakuaga kama mchawi mchawi [emoji23] [emoji23]
Unaanza kuniharibia ujue. Kauka basii basi bibi asijueWekeza babu usije kuwa mzigo kwetu pension ikiisha. Alafu yule demu wako wa JF usikute anakuchuna tu. Tulia na bibi Sky
Sawa babu. Jioni njema, endelea kupambana na bouncer huyo mpaka ashushe mikono..Unaanza kuniharibia ujue. Kauka basii basi bibi asijue
hahahhahahahaha mamaeeeeMama sabrina huu muda ungekaa na sabrina
Kabisa.. mengine ni pumba tuKama damondo hana maamuzi kama mwanaume? Huyo damondo ndio tatizo wala sio mama yake..
Mwanaume unakosaje maamuzi
Mama Diamond shkamooEeeeeeeeeeh
Loooooo nikomwe mie
Yupo anacheza na wenzie hukoMama sabrina huu muda ungekaa na sabrina
AnakunywaaaIlo la diamond kunywa pombe sidhani??
Ila kwa huyo mama diamond kafeli sana.... " yaani hii yote ni tabu ya kulelewa na mama wakiokulia uswahilini tabu tupu.....
Kumpangia mwanaeHahaha we inakuuma nn sasa
Yaan ana shidaaa kubwaHyu mama ana gubu baya sana, mpaka zari kipindi kile alikimbia na kwenda south Africa.sababu ya hyo mambo .mama anaingia chumbani kwa mwanae kama hana mke kifupi yule mama ajui mipaka yake sawa mtoto kwa mama hakui lkn si kivile.
HaahahahahahahCocochanel
Hapana bana hatupo hivyooo kabisaMama bora aendelee kuwa karibu na mwanae Maana akikaa mbali tu wanawake wa kibongo hamkawii kumpa limbwata mwanae ili mle pesa yake!
Maana sehemu kubwa wasichana wa bongo wana ndoto ya kulala na Diamond kisa pesa+ umaarufu!
Namshauri mama aendelee kuwa makini
AhahahahahhaahhDuh kumbe ndio mama diamond huyo? Ndio maana anakuaga kama mchawi mchawi [emoji23] [emoji23]
Ndio hapo kawa mlevii siku hiziKama damondo hana maamuzi kama mwanaume? Huyo damondo ndio tatizo wala sio mama yake..
Mwanaume unakosaje maamuzi
Maana naskia alikuwa hatumii pombe ila kama ameanza kujiingiza huko awe makini asije aka drop....Anakunywaaa
Tena kubwa.Yaan ana shidaaa kubwa
Alikuwa hanywi ndioMaana naskia alikuwa hatumii pombe ila kama ameanza kujiingiza huko awe makini asije aka drop....
Basi stress ni kitu kibaya sana....Alikuwa hanywi ndio