Mama Diamond utamshusha Diamond

Mama Diamond utamshusha Diamond

Ifike mahala watanzania muwe na akili na mshirikishe bongo zenu...

Hawa wapumbavu wote wanacreate attention tu..

Wiki ijayo kuna wimbo diamond anaachia.. Acheni upumbavu.


Walitengeneza upumbavu huu huu..sijui Sarah wa Harmonize kachukuliwa na Bodyguard wa Diamond.. Kumbe upuuzi mtupu...anatafuta attention ya kujaza watu ktk show huko...

Tufike mahala upuuzi na utoto wa Insta ubaki hukohuko.

Kiki za kipumbavu.....
 
Ifike mahala watanzania muwe na akili na mshirikishe bongo zenu...

Hawa wapumbavu wote wanacreate attention tu..

Wiki ijayo kuna wimbo diamond anaachia.. Acheni upumbavu.


Walitengeneza upumbavu huu huu..sijui Sarah wa Harmonize kachukuliwa na Bodyguard wa Diamond.. Kumbe upuuzi mtupu...anatafuta attention ya kujaza watu ktk show huko...

Tufike mahala upuuzi na utoto wa Insta ubaki hukohuko.

Kiki za kipumbavu.....
[emoji23] [emoji23] kawaida hata ulaya ipo!
 
Huyu mama sijui yupoje mwanae kampa fursa ya kua anazurura nae kwa upendo ,ye amechukulia advantage ya kumcontrol Diamond, mama mtu mzima unatoka kwako na bwana ako unahamia madale ili uishi tu na daimond ,unataka umpangie kila mwanamke anaetaka kuwa nae wanawake wa daimond wote wabaya jamani, si ulee ndoa yako au Shamte ana kibamia nini ndio maana hutulii eti oooh hamisaa hajui hata kutandika kitanda unaendaga chungulia hadi chumbani mwao,hajui kupika daimond levo alokuwa nayo wafanyakazi wote pale madale apikiwe na hamisa ,mama acha gubu wewe ndio utamshusha mwanao,nasikia daimond ameanza kuwa mlevi chakari utashangaa unampa stress hadi aanze tumia madawa ya kulevya,kama mtoto anampenda hamissa mwache apate furaha ,kama anamtaka zari mwache,usimpangie tushaona watoto wengi wanayumba kisa mama zao,mwache mtoto aoe amekua sasa furahia furaha yake ifurahia,furahia mwanao awe na furaha. Unakuwa mama huna adabu mbona ye kakuvumilia kuolewa na kijana rika lake tena pesa anakupa mwanao unahonga vibenten


Nimeshangaa sana kutoka kule unakoishi sijui Tabata kwenda na mmeo shamte,huyo shamte nahisi nae kaolewa tu si kwa kupelekeshwa huko mnapishana tu na
Yaan ningekuwa mimi ndio Hamissa ningeenda kukudumbukiza kwenye ile swimming pool au nigeangaza huku na kule hakuna mtu nikakunasa vibao vitatu vitakatifu na ukisema hakuna alieona huna adabu kabisa we mama

Aisee wenye mama wake wa hivi nawapa polee sana
You Sound hell as Whore Mobeto....aren't You?
 
Kwani yy ndio anamtungia nyimbo au ana mfanyia back voko. Huna hoja pambana na hali yako tu
 
Huyu mama sijui yupoje mwanae kampa fursa ya kua anazurura nae kwa upendo ,ye amechukulia advantage ya kumcontrol Diamond, mama mtu mzima unatoka kwako na bwana ako unahamia madale ili uishi tu na daimond ,unataka umpangie kila mwanamke anaetaka kuwa nae wanawake wa daimond wote wabaya jamani, si ulee ndoa yako au Shamte ana kibamia nini ndio maana hutulii eti oooh hamisaa hajui hata kutandika kitanda unaendaga chungulia hadi chumbani mwao,hajui kupika daimond levo alokuwa nayo wafanyakazi wote pale madale apikiwe na hamisa ,mama acha gubu wewe ndio utamshusha mwanao,nasikia daimond ameanza kuwa mlevi chakari utashangaa unampa stress hadi aanze tumia madawa ya kulevya,kama mtoto anampenda hamissa mwache apate furaha ,kama anamtaka zari mwache,usimpangie tushaona watoto wengi wanayumba kisa mama zao,mwache mtoto aoe amekua sasa furahia furaha yake ifurahia,furahia mwanao awe na furaha. Unakuwa mama huna adabu mbona ye kakuvumilia kuolewa na kijana rika lake tena pesa anakupa mwanao unahonga vibenten


Nimeshangaa sana kutoka kule unakoishi sijui Tabata kwenda na mmeo shamte,huyo shamte nahisi nae kaolewa tu si kwa kupelekeshwa huko mnapishana tu na
Yaan ningekuwa mimi ndio Hamissa ningeenda kukudumbukiza kwenye ile swimming pool au nigeangaza huku na kule hakuna mtu nikakunasa vibao vitatu vitakatifu na ukisema hakuna alieona huna adabu kabisa we mama

Aisee wenye mama wake wa hivi nawapa polee sana
 
Huyu mama sijui yupoje mwanae kampa fursa ya kua anazurura nae kwa upendo ,ye amechukulia advantage ya kumcontrol Diamond, mama mtu mzima unatoka kwako na bwana ako unahamia madale ili uishi tu na daimond ,unataka umpangie kila mwanamke anaetaka kuwa nae wanawake wa daimond wote wabaya jamani, si ulee ndoa yako au Shamte ana kibamia nini ndio maana hutulii eti oooh hamisaa hajui hata kutandika kitanda unaendaga chungulia hadi chumbani mwao,hajui kupika daimond levo alokuwa nayo wafanyakazi wote pale madale apikiwe na hamisa ,mama acha gubu wewe ndio utamshusha mwanao,nasikia daimond ameanza kuwa mlevi chakari utashangaa unampa stress hadi aanze tumia madawa ya kulevya,kama mtoto anampenda hamissa mwache apate furaha ,kama anamtaka zari mwache,usimpangie tushaona watoto wengi wanayumba kisa mama zao,mwache mtoto aoe amekua sasa furahia furaha yake ifurahia,furahia mwanao awe na furaha. Unakuwa mama huna adabu mbona ye kakuvumilia kuolewa na kijana rika lake tena pesa anakupa mwanao unahonga vibenten


Nimeshangaa sana kutoka kule unakoishi sijui Tabata kwenda na mmeo shamte,huyo shamte nahisi nae kaolewa tu si kwa kupelekeshwa huko mnapishana tu na
Yaan ningekuwa mimi ndio Hamissa ningeenda kukudumbukiza kwenye ile swimming pool au nigeangaza huku na kule hakuna mtu nikakunasa vibao vitatu vitakatifu na ukisema hakuna alieona huna adabu kabisa we mama

Aisee wenye mama wake wa hivi nawapa polee sana
 
Uzuri mimi mama mkwe huwaga sina wametangulia mbele za haki halaf wana adabu sio kama huyu
Ila mama daimond ningevizia dai hayupo nikamnasa vibao akisema kwa mwanae namuambia ananisingizia tu kwa vile hanipendi
Mama Sabrina unaweza kuwa sahihi upande flani au ukawa sio sahihi.
Naomba niende kwenye upande ambao unaweza usiwe sahihi, kwa ninvyo amini mm ni kuwa nyinyi wanawake mnajuana sana. Hakuna mzazi amabe hapendi mwanae apate shida, yule mama mpaka amesema hivi kuna vitu ambacho haviko sawa.
Nitoe mfano wangu mm kuna mwanamke nilimpenda nilivyo mpeleka nyumbani mama wangu akawa na hofu nae sana, na mm nikaforce mwaka haukuisha mambo haya kuwa mabo kabisa.
Nikaoa mwingine ambao amuelewa naishi nae vzr sana hana shida
 
Kuna picha nimeziona juzi kati jamaa amekonda sana!
Angekuwa bro wangu ningemshauri aombe msamaha kwa zari..... yule ndo alikuwa mwanamke sahihi kwake!

Ingawa najua Wewe Team ant-zari [emoji23] [emoji23]
Lazima akonde, kapigwa hela mzuri kisomi tu na Zari mameneja wamenawa inabidi wamshauri akae kimya tu.
Nilishasema hapa Zari alikua anasubiri right time akombe chake.
 
Back
Top Bottom