Mama Diamond utamshusha Diamond

[emoji23][emoji23] gubu la mama mkwe nilikuwa nalisikia ila sahivi nimeliona mama haliki yule si kwa mchuzi wala mkavu kote shida yeye
Mama sabrina sema sahivi kapata kiboko yake hamisa mswahili mwenzie full mapichapicha wengine alikuwa anawaonea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mapicha picha!ya kichina,kihindi na kiarabu!!!
 
Hyu mama ana gubu baya sana, mpaka zari kipindi kile alikimbia na kwenda south Africa.sababu ya hyo mambo .mama anaingia chumbani kwa mwanae kama hana mke kifupi yule mama ajui mipaka yake sawa mtoto kwa mama hakui lkn si kivile.
Mbaya mnoo ana gubu kama analiwa na yeye!!!
 
Apewe Mara ngapi limbwata?!!
 
Matukio ya kutengenezwa hayo, yani wasanii wa bongo wameshafanya ndio maisha sasa kucheza na akili za watu
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Mambo yao waachie wenyewe...

Usiwe na roho kama hiyo... ina maana mama mkwe wako utakua unamshushia kichapo...

Cc: mahondaw
Uzuri mimi mama mkwe huwaga sina wametangulia mbele za haki halaf wana adabu sio kama huyu
Ila mama daimond ningevizia dai hayupo nikamnasa vibao akisema kwa mwanae namuambia ananisingizia tu kwa vile hanipendi
 
Uzuri mimi mama mkwe huwaga sina wametangulia mbele za haki halaf wana adabu sio kama huyu
Ila mama daimond ningevizia dai hayupo nikamnasa vibao akisema kwa mwanae namuambia ananisingizia tu kwa vile hanipendi
Binamu ESMA yuko lock up kakamatwaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]anauza vipodozi feki
 
Ungem-DM insta kwenye account yake ingependeza zaidi,kuja humu kuandika huu upuuzi ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu kwanza sidhani kama yupo humu.
 
Hio ni kiki tu na bahati mbaya kwao royal wedding imeizima vibaya mno insta kote pamejaa picha za harusi
 
Ungem-DM insta kwenye account yake ingependeza zaidi,kuja humu kuandika huu upuuzi ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu kwanza sidhani kama yupo humu.
Joowzey hayakuhusu,halaf nimesubiri ile supi wapiii mi sijaribiwi kama raisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…