Mama Erick Kabendera ni aina ya wamama adimu sana, wanawake wenye maono makubwa

Kwa nini hawakumpooza na kumfanya awe kama Cyprian Musiba??
 
Tuambie uwongo wa kabendera ni upi halafu ww utuandkie ukweli au ukweli ni ule kpnd cha shetan magufuri tuliambiwa wapnzan wanatuchelewesha leo wapo ccm peke yao na hakuna jipya na yale magawio fake ya mashirika nk ndo ukweli unaoutaka au
 
Mbowe alikuwa Kwa Mwamposa juzi 😀
 
Tujadili Mambo ya msingi!
Muda ni mfupi mambo ni mengi!
Tuna uchaguzi wa chadema
Tuna uchaguzi mkuu 2025
Tuna shida ya Barabara mbovu
 
Kwa nini hawakumpooza na kumfanya awe kama Cyprian Musiba??
Kila mtu na kazi yake, kwani unadhani Musiba ni mtu alieamua kuwehuka tu from nowhere.

Wengine tuishi kwa calculated risks na kupima madhara yake (usiige watu) usio wajua wengine wana nguvu nyuma yao, ya kupambana hata na hakina Membe.

Vinginevyo uwezi itungia nchi uongo kwa malipo, tena kupitia reputable news sources huko kwa wazungu, ukabainika uchekewe.

It doesn’t work that way, hata huko kwao.
 
Tujadili Mambo ya msingi!
Muda ni mfupi mambo ni mengi!
Tuna uchaguzi wa chadema
Tuna uchaguzi mkuu 2025
Tuna shida ya Barabara mbovu
Waambie mashabiki wa Yanga na Simba.
 
Huyu jamaa alinyimwa haki ya kumzika Mama yake.
 
Katika mambo yaliyonifanya nimchukie kabisa Magufuli ni ile video ya Mama Kabendera akilia kumuombea msamaha mwanaye, nililia mno!

Mama Kabendera apumzike kwa amani, kijana hodari aliyemlea vyema anaushangaza ulimwengu hii leo.

Kuna wengi tu ambao wamefungwa na kuacha watu wengi wanaowategemea nyuma yao. Je nao wakitoa klip za kumuomba rais msamaha wa kuwaachia kutoka kolokoloni hali ingekuwaje?

Tatizo mnaangalia upande mmoja tu kwamba Kabendera kafungwa. Lakini hamuangalii upande ule muhimu wa kosa lake la kuiumiza nchi. Alikuwa akiichafua nchi kwa mabeberu kwa vipande vya fedha. Halafu mnaona kaonewa. Jambo alilofanya Kabendera halikubaliki popote duniani.
 
Sio sawa kuwafunga watuhumiwa kabla hata ya kupewa hukumu na mahakama.
 
Tupe muamala wa wazungu kwenda kwa kabendera una ushahidi nadhan
We nawę ndio unaamka, ushaambiwa Kabendera ni freelance writer (analipwa) per article.

Kama ulikuwepo JF from 2015 kulikuwa na mada luluki kutoka ‘The Economists’ na hao wengine ambao wanamtambua kama contributor wao (The Times na The Guardian.

Alikuwa anaichafua serikali huko kwa kutumia pseudonym mpaka alipotajwa jina lake halisi humu JF muhusika ni Kabendera na member ambae ni active (you should have this details, kabla ya kuchagua upande).

Freelance writer analipwa per article kwa wanaochapisha nakala zake au unadhani alikuwa anaandika bure.
 
"...... hata alipomtembelea mwanae gerezani alihuzunika sana" mwisho wa kunukuu dah! Mama alifariki kwa maumivu makali sana kabendera nae hakuweza kumuaga mamaye
 

Umenena vyema. Mfundishe mwanao ukweli ili umuweke huru. Lakini usiache pia kumfundisha hekima na pia hasara ya usaliti ili awe salama. Hata vitabu vinatuasa usiwe mtakatifu au mwema kupita kiasi ili uwe salama.
 
Katika mambo yaliyonifanya nimchukie kabisa Magufuli ni ile video ya Mama Kabendera akilia kumuombea msamaha mwanaye, nililia mno!

Mama Kabendera apumzike kwa amani, kijana hodari aliyemlea vyema anaushangaza ulimwengu hii leo.
Magufuli karma itamtesa sana. atakuwa case study wa karne hii
 
Mama mjinga alizaa toto lijinga lijinga hakulifundisha uzalendo. Ajue historia yake na jina lake limeshajifuta anga za Tanganyika, akatafute urais nchi nyingine.
 
taarifa zilizozagaa zilionesha wewe ndo ulinyetisha neno kaflag kutoka gazeti la uingereza la economy kwenda viungani ikulu..kwamba mwenye jinal kaflag ..ni yeye ...zakweli hizo

Nakumbuka bro Pascal Mayalla alilishukia gazette la The Economist kwa kuandika mambo ya uongo na ya kuichafua serikali. Yeye hakuandika kuhusu Kabendera na wala hakuna aliye dhani ni yeye. Licha ya kuwa mwandiko, lugha, mtiririko wa mawazo nk ilionesha kabisa kwamba mtunzi na muandishi wa makala ile ni mwenyeji wa eneo husika. Kwa hiyo Pascal alifanya kitu ambacho wengi walifikiria. Kupinga makala zile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…