johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Atakuwa anauza mbege kilabuni😂😂😂😂Wako jee maana umekadhania shobo kwa mama wa mwenzio!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa anauza mbege kilabuni😂😂😂😂Wako jee maana umekadhania shobo kwa mama wa mwenzio!
Mkuu! Pata paja la mbuzi kwa mangi nitalipa!Trauma ya Kabendera ni anticipated kumpoteza mama yake.
But then you reap what you sow; serikali aijui kama una muuguza mama yako kipenzi. Hasa pale unapoichafua kwa malipo ya wazungu.
Kwa nini hawakumpooza na kumfanya awe kama Cyprian Musiba??Ndio uwafundishe watoto wako wasiuze utu wao kwa malipo.
Maandishi ya uongo anayoandika Kabendera leo, ndio aina ya uongo huo huo uliomletea shida huko nyuma.
Halafu unaitungia uongo nchi kwenye magazeti yanayosomwa na potential investors, mafisadi yatengeneze story.
Tuambie uwongo wa kabendera ni upi halafu ww utuandkie ukweli au ukweli ni ule kpnd cha shetan magufuri tuliambiwa wapnzan wanatuchelewesha leo wapo ccm peke yao na hakuna jipya na yale magawio fake ya mashirika nk ndo ukweli unaoutaka auNdio uwafundishe watoto wako wasiuze utu wao kwa malipo.
Maandishi ya uongo anayoandika Kabendera leo, ndio aina ya uongo huo huo uliomletea shida huko nyuma.
Halafu unaitungia uongo nchi yenye kwenye magazeti yanayosomwa na potential investors, mafisadi yatengeneze story.
Mbowe alikuwa Kwa Mwamposa juzi 😀Unakwama sana kuchanganya mambo ya kiroho na kimwili punguza chuki kwa wanaoamin mambo ya rohoni kuptia mtu fulani hao wana changamoto ambazo wanaamin znatatulika kiroho huko kwa mwamposa wewe si kweli kwamba una akili kushnda watu wote wanaoenda pale wengne ni matajiri kwao ww ni kapuku tu wengne ni wasomi wakubwa kwao ww ni kilaza tu
Tupe muamala wa wazungu kwenda kwa kabendera una ushahidi nadhanMkuu! Pata paja la mbuzi kwa mangi nitalipa!
Kila mtu na kazi yake, kwani unadhani Musiba ni mtu alieamua kuwehuka tu from nowhere.Kwa nini hawakumpooza na kumfanya awe kama Cyprian Musiba??
Huyu jamaa alinyimwa haki ya kumzika Mama yake.Erick Kabendera anasema mama yake alikuwa mwalimu wa enzi za ukoloni na ndiye aliyemfundisha yeye na kumpa ujuzi mwingi wa Kingereza, Historia na Uandishi. Anasema nyumbani kwao kulikuwa na maktaba kubwa ambapo walikuwa wanasoma vitabu vingi sana pamoja na mama yake.
Kabendera anasema hata wakati anakamatwa walikuwa wanajadili Historia ya mataifa ya maziwa makuu na mama yake mwenye miaka 80! Alimpomtembelea mahakamani alihuzunika sana jinsi watu walivyokuwa wananyang'anya haki zao na watu wengine wako kimya tu.
Anasema wakati wa vitu kuu ya pili ya dunia mama yake alitaka kwenda kusoma nje ya Kagera lakini kulikuwa na amri ya wakoloni kuwazuia wanawake wasitoke ndani ya Kagera kwasababu walikuwa wanatorokea Nairobi ambapo inadaiwa walikuwa wanaenda kujiuza na kurudi na magonjws, mama yake na mwanamke mwingine waliandamana kwa mkuu wa wilaya kupinga amri iliyowazuia wanawake wa Kagera kusafiri nje ya Kagera na wakaruhusiwa kusafiri.
Hakika Kabendera alipata mama bora, labda ndio maana inaonekana hana viashiria vya Utanzania. Wamama wengine wa kibongo kipaumbele kwa watoto wao ni kwa Mwamposa, Sunday School, mafundisho ya komunio au Madrasa na wa kike kuolewa. Sifa kubwa ya wamama wengi wa kibongo wakielezewa na watoto wao ni wacha mungu na waliowafundisha maadili. Mama yake Kabendera aliamua kumnoa mwanae katika elimu dunia.
Katika mambo yaliyonifanya nimchukie kabisa Magufuli ni ile video ya Mama Kabendera akilia kumuombea msamaha mwanaye, nililia mno!
Mama Kabendera apumzike kwa amani, kijana hodari aliyemlea vyema anaushangaza ulimwengu hii leo.
Sio sawa kuwafunga watuhumiwa kabla hata ya kupewa hukumu na mahakama.Kuna wengi tu ambao wamefungwa na kuacha watu wengi wanaowategemea nyuma yao. Je nao wakitoa klip za kumuomba rais msamaha wa kuwaachia kutoka kolokoloni hali ingekuwaje?
Tatizo mnaangalia upande mmoja tu kwamba Kabendera kafungwa. Lakini hamuangalii upande ule muhimu wa kosa lake la kuiumiza nchi. Alikuwa akiichafua nchi kwa mabeberu kwa vipande vya fedha. Halafu mnaona kaonewa. Jambo alilofanya Kabendera halikubaliki popote duniani.
We nawÄ™ ndio unaamka, ushaambiwa Kabendera ni freelance writer (analipwa) per article.Tupe muamala wa wazungu kwenda kwa kabendera una ushahidi nadhan
Amekuwa mkimbizi sababu nchi aliyokuwepo hawapendi ukweli, mama alimlea mwanae katika ukweli na haki ambalo ni kosa lililompelekea mwanaye kesi na kushikiliwa kinyume cha haki.
Mama Kabendera ni mfano kwetu sisi wanawake, tunapaswa kuwalea watoto wetu kama alivyomlea mwanaye Eric ili kuleta mageuzi ya fikra kwa vizazi vijavyo.
Magufuli karma itamtesa sana. atakuwa case study wa karne hiiKatika mambo yaliyonifanya nimchukie kabisa Magufuli ni ile video ya Mama Kabendera akilia kumuombea msamaha mwanaye, nililia mno!
Mama Kabendera apumzike kwa amani, kijana hodari aliyemlea vyema anaushangaza ulimwengu hii leo.
Mama mjinga alizaa toto lijinga lijinga hakulifundisha uzalendo. Ajue historia yake na jina lake limeshajifuta anga za Tanganyika, akatafute urais nchi nyingine.Erick Kabendera anasema mama yake alikuwa mwalimu wa enzi za ukoloni na ndiye aliyemfundisha yeye na kumpa ujuzi mwingi wa Kingereza, Historia na Uandishi. Anasema nyumbani kwao kulikuwa na maktaba kubwa ambapo walikuwa wanasoma vitabu vingi sana pamoja na mama yake.
Kabendera anasema hata wakati anakamatwa walikuwa wanajadili Historia ya mataifa ya maziwa makuu na mama yake mwenye miaka 80! Alimpomtembelea mahakamani alihuzunika sana jinsi watu walivyokuwa wananyang'anya haki zao na watu wengine wako kimya tu.
Anasema wakati wa vitu kuu ya pili ya dunia mama yake alitaka kwenda kusoma nje ya Kagera lakini kulikuwa na amri ya wakoloni kuwazuia wanawake wasitoke ndani ya Kagera kwasababu walikuwa wanatorokea Nairobi ambapo inadaiwa walikuwa wanaenda kujiuza na kurudi na magonjws, mama yake na mwanamke mwingine waliandamana kwa mkuu wa wilaya kupinga amri iliyowazuia wanawake wa Kagera kusafiri nje ya Kagera na wakaruhusiwa kusafiri.
Hakika Kabendera alipata mama bora, labda ndio maana inaonekana hana viashiria vya Utanzania. Wamama wengine wa kibongo kipaumbele kwa watoto wao ni kwa Mwamposa, Sunday School, mafundisho ya komunio au Madrasa na wa kike kuolewa. Sifa kubwa ya wamama wengi wa kibongo wakielezewa na watoto wao ni wacha mungu na waliowafundisha maadili. Mama yake Kabendera aliamua kumnoa mwanae katika elimu dunia.
Haki ipi?? Mungu aliamua?!Nililia sana, sana! Na taarifa za msiba wake zilipokuja nililia zaidi.
Lakini Mungu alisimama akaamua kwa haki, the rest is history.
taarifa zilizozagaa zilionesha wewe ndo ulinyetisha neno kaflag kutoka gazeti la uingereza la economy kwenda viungani ikulu..kwamba mwenye jinal kaflag ..ni yeye ...zakweli hizo