Mama Erick Kabendera ni aina ya wamama adimu sana, wanawake wenye maono makubwa

Mama Erick Kabendera ni aina ya wamama adimu sana, wanawake wenye maono makubwa

Katika mambo yaliyonifanya nimchukie kabisa Magufuli ni ile video ya Mama Kabendera akilia kumuombea msamaha mwanaye, nililia mno!

Mama Kabendera apumzike kwa amani, kijana hodari aliyemlea vyema anaushangaza ulimwengu hii leo.
Yule mama alinihuzunisha sana pia.
Yule mzee alikua na roho ngumu kupindukia si ajabu ndio sababu ya kuitwa jiwe.

Ukigusa maslahi yake au akihisi hivyo hata kwa mbali tuu hakyanani utakiona cha mtema kuni.
 
Njoo tena, sijakueelewa ulikuwa na maana gani.
Kabendera alishikiliwa miezi sita bila kuhukumiwa na mahakama, kuna wafuasi wengine wa CHADEMA walikuwa wanashikiliwa kwa tuhuma za mauaji huko Njombe na wameachiwa hivi karibuni baada ya kushikiliwa gerezani miaka minne!
 
Kabendera alishikiliwa miezi sita bila kuhukumiwa na mahakama, kuna wafuasi wengine wa CHADEMA walikuwa wanashikiliwa kwa tuhuma za mauaji huko Njombe na wameachiwa hivi karibuni baada ya kushikiliwa gerezani miaka minne!

Yaa ni sawa. Sheria zinasema wapelekwe mahakamani mapema.
 
Katika mambo yaliyonifanya nimchukie kabisa Magufuli ni ile video ya Mama Kabendera akilia kumuombea msamaha mwanaye, nililia mno!

Mama Kabendera apumzike kwa amani, kijana hodari aliyemlea vyema anaushangaza ulimwengu hii leo.
Kwa kweli hata mimi hilo lilinigusa sana na inawezekana kabisa machozi yale ndiyo yaliyoharakisha Karma- kama wavyosemaga watu huko duniani- Karma is real.
 
" Alimpomtembelea mahakamani alihuzunika sana jinsi watu walivyokuwa wananyang'anya haki zao na watu wengine wako kimya tu"
 
Amekuwa mkimbizi sababu nchi aliyokuwepo hawapendi ukweli, mama alimlea mwanae katika ukweli na haki ambalo ni kosa lililompelekea mwanaye kesi na kushikiliwa kinyume cha haki.

Mama Kabendera ni mfano kwetu sisi wanawake, tunapaswa kuwalea watoto wetu kama alivyomlea mwanaye Eric ili kuleta mageuzi ya fikra kwa vizazi vijavyo.
Hakuna mtu yeyote duniani ambaye ni mkweli ndugu. Tuache kudanganyana. Wewe ukichepuka huwa unamwambia mmeo?
 
Nakumbuka bro Pascal Mayalla alilishukia gazette la The Economist kwa kuandika mambo ya uongo na ya kuichafua serikali. Yeye hakuandika kuhusu Kabendera na wala hakuna aliye dhani ni yeye. Licha ya kuwa mwandiko, lugha, mtiririko wa mawazo nk ilionesha kabisa kwamba mtunzi na muandishi wa makala ile ni mwenyeji wa eneo husika. Kwa hiyo Pascal alifanya kitu ambacho wengi walifikiria. Kupinga makala zile.
siku mbili baadae kaflag akakamatwa Tanzania Tena mwafrika
 
Kwa hiyo "wahaya"walianza biashara zamani hadi mkoloni kuwapiga marufuku!?
 
We nawę ndio unaamka, ushaambiwa Kabendera ni freelance writer (analipwa) per article.

Kama ulikuwepo JF from 2015 kulikuwa na mada luluki kutoka ‘The Economists’ na hao wengine ambao wanamtambua kama contributor wao (The Times na The Guardian.

Alikuwa anaichafua serikali huko kwa kutumia pseudonym mpaka alipotajwa jina lake halisi humu JF muhusika ni Kabendera na member ambae ni active (you should have this details, kabla ya kuchagua upande).

Freelance writer analipwa per article kwa wanaochapisha nakala zake au unadhani alikuwa anaandika bure.
Madudu yenu yakiwekwa peupe sio kuchafuliwa ndio uhalisia huo shida yenu mnapenda kusifiwa kila siku.
 
Back
Top Bottom