Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Hayo unayoyasema una ushahidi nayo?Hakuna maslahi kwa baadhi ya viongozi kwenye mkataba wa Fei kwa kipindi alichokuwa anauhitaji mpaka pale alipoamua kutumia njia mbadala kitu ambacho hakikutegemewa. Hili ndo tatizo ila mashabiki mpo ibadani mkidhani mnaitetea Yanga kumbe mnatetea tumbo la mtu fulani.
HahahaUkizungumzia mchango wa myu na mshahara walimu, mapolisi na madaktari watakupiga mawe
Tumia akili yako vizuri kufikiri kwenye hiliKesi ya kijinga mkibebwa na TFF kwa maelekezo ya Waziri
Ushahidi ni kuwa Fei hataki kuuza mishkaki.Hayo unayoyasema una ushahidi nayo?
Ndugu Tsh naonyesha kiasi gani una utoto umekujaa. Umeandika ujinga tu. Huna hoja.Ushahidi ni kuwa Fei hataki kuuza mishkaki.
View attachment 2534779
Kwani kazuiliwa kwenda ngazi za juu kupata haki yake? Si aende CAS kama ela hana mumchangie nyie wapenda hakiKesi ya kijinga mkibebwa na TFF kwa maelekezo ya Waziri
Hoja yangu/zangu pitia post #11, #17, #42, #43 na #44.Wewe hoja yako ni ipi kuhusu mtanzania mwenzako Fei toto?
Nachoona ni ibada kwa viongozi, sioni ukitetea maslahi ya Fei.
Sitetei maslai ya yeyote, natetea kila mtu afuate mkataba aliousaini. Full stop. Haya mambo ya kusema unahudumia yatima, unakula ugari kwa sukari, sijui unapanda boda boda, NI UJINGA WA KIWANGO CHA SGRNachoona ni ibada kwa viongozi, sioni ukitetea maslahi ya Fei.
Hutashangilia matokeo yatakapotoka against kijana wa kizanzibar Fei?Sitetei maslai ya yeyote, natetea kila mtu afuate mkataba aliousaini. Full stop.
KAMA NI YA HAKI NTASHANGILIA TU..!! Kama yamefuata taratibu zilizowekwa, why not nisishangilie..!??? Kama facts zimewekwa mezani, kwanini nisishangilie? Mimi sishabikii mtu kulipwa kwa kuonewa huruma. Hata wewe unaposema MTANZANIA MWENZANGU, MAANA YAKE UNACHOANGALIA NI UTANZANIA WAKE NA SI KAMA ALIFUATA MKATABA UNATAKA NINI..!! By the way, hata TFF nao ni watanzania wenzetu.Hutashangilia matokeo yatakapotoka against kijana wa kizanzibar Fei?
Hili ndilo ninaloliona, hakuna jingine. Mtanzania atajificha kwenye kivuli cha taratibu,sijui mkataba ila target ni moja tu. Furaha mtanzania mwenzake anapofeli.NTASHANGILIA TU..!!
Kwahiyo ume-edit na post yangu ili ifiti unachokitaka? Huo ni ujuha.Hili ndilo ninaloliona, hakuna jingine. Mtanzania atajificha kwenye kivuli cha taratibu,sijui mkataba ila target ni moja tu. Furaha mtanzania mwenzake anapofeli.
Vp, huyu hakuuzunishi kwa maisha anayopitia baada ya soka? Au ndo zile za Watanzania ni wajinga, ukiwalipa vizuri wanatapanya.
View attachment 2534797
Nimekuonyesha kile ninachokiona kutoka kwako siyo hayo mengine ninayoyaona kama visingizio tu vya kuhalalisha tamanio lako(Kushangilia Fei kushindwa).Kwahiyo ume-edit na post yangu ili ifiti unachokitaka? Huo ni ujuha.
BTW, niwaombe mods Maxence Melo, Mhariri, Moderator, Paw etc Mtu anapomkwoti mwingine, tengenezeni mazingira anayekwoti asiweze ku-edit anachokikwoti. Maana kuna siku mtu ataonekana ameandika kitu kinachovunja taratibu za JF kumbe kuna mmoja ame-edit post ya mtu pale anapomkwoti kwa maslahi yake binafsi. Mfano huyu ndugu Tsh amenikwoti akafuta mengine yote akayaacha anayoyataka yeye.
Robo sukari tu inaweza kuwa sawa mboga fungu 1.Mtu anapata hela ya kununua sukari anashundwa kununua mchicha, tembele, sukuma wiki, dagaa?
Wenzio huwa hawafuti, wanaongeza tu HAPO KWENYE BOLD baada ya kukwoti na ku-bold eneo wanalotaka point yao ijikite, na mengine yanabaki kama yalivyo. Kitendo cha kufuta baadhi ya maneno inaonyesha jinsi ulivyo mzoefu kwenye kufoji docements sehemu mbalimbali.Nimekuonyesha kile ninachokiona kutoka kwako siyo hayo mengine ninayoyaona kama visingizio tu vya kuhalalisha tamanio lako(Kushangilia Fei kushindwa).
Wewe kama ni shabiki huna maslahi yoyote kwa fei kubaki yanga sababu hataki kucheza, matokeo ya kukufanya ushangilie ni Yanga kumuondoa kikosini ili asiwe mzigo kwa timu yako badala yake unashangilia yeye kubaki sababu unajua akibaki hatopata maslahi anayoyapigania huko nje. To you it is not about Yanga kumbakisha Fei ili kuinufaisha Yanga, it is about Fei kukosa analolitaka nje ya Yanga hata kama atakuwa mzigo kwa Yanga.
Hili hitimisho lako halibadili tabia yako ya ushangiliaji. Mshangilie na huyuWenzio huwa hawafuti, wanaongeza tu HAPO KWENYE BOLD baada ya kukwoti na ku-bold eneo wanalotaka point yao ijikite, na mengine yanabaki kama yalivyo. Kitendo cha kufuta baadhi ya maneno inaonyesha jinsi ulivyo mzoefu kwenye kufoji docements sehemu mbalimbali.
Kwani uondoe maneno haya..? KAMA NI YA HAKI. Si unataka ionekane tu NITASHANGILIA BILA MASHERTI YOYOTE?
Nyie ndiyo wanaume mkiachishwa kazi, mnakuja kulia lia humu.Ushahidi ni kuwa Fei hataki kuuza mishkaki.
View attachment 2534779
Acha tabia ya ku-edit post za watu.Hili hitimisho lako halibadili tabia yako ya ushangiliaji.