Mama Feisal jitokeze mbele ya kamera uombe radhi Viongozi na Mashabiki wa Mpira kwa kuzungumza mambo ya uongo

Mama alisema Feisal anategemewa na ndugu zake, pesa zote zinaishia kwa kulipia gharama za shule na mavazi kwa ndugu zake

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
..usiongee maneno,thibitisha Kuwa mama ni mwongo na Kuwa Feisal haali huo ugali kwa sukari kama alivyonukuliwa mama.
 
hiyo millon 4 mnaijua mchanganuo wake ? pili maisha ya vibarua yana siri nyng , mm nakula abt 1.....ila kuna muda nakosa nauli napiga lege Makonde to Morocco , sishangai kbs
acha upimbi iyo milion 112 aliyowawekea Yanga ktk account alitoa wapi ?
 
..usiongee maneno,thibitisha Kuwa mama ni mwongo na Kuwa Feisal haali huo ugali kwa sukari kama alivyonukuliwa mama.
Mama feisal akija akithibitisha hadharani kuwa mwanae alikua anakula ugali kwa sukari basi na mimi nitathibitisha niliyoyaongea.[emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…