Mama hamtaki Mpenzi wangu

Olewa nae ila jiandae kuwa mfuasi wa Kuhani Musa au Mwamposa kwa misukosuko ya huko mbeleni kwa stress zitakazokupata..
 
Wazazi wetu maisha waliyoishi wao katika ujana wao ni tofauti na maisha ya sasa hivyo hata ushauri wao hauna msaada wowote kwa maisha ya sasa!
Kama umempenda huyo kijana endeleeni na mipango yenu hela zinatafutwa mnaweza kuja kuwa billionaire mpaka watu washangae, maisha ya ndoa hayana formula,
 
Ulieishia o level unajua mambo ya Toxic/ narcissistic mom wewe utakuwa unatuchora tu
 
Na hivyo vitu sio kivile, pombe ameacha tangu nimwambie mi pia staki hivyo vitu akishindwa kuacha tutakua tu casual amenielewa anayafanyia kazi hayo

ukimuuliza anasema umemtukana
Nani alikudanganya kuwa mlevi na mvuta bangi huacha ulevi.
Kinachokusumbua wewe ni umri kwenda muda mfupi ujao utajuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…