Mama J, shabiki wa Yanga

ila acheni bwana haya mambo mengine. kutoa taarifa kuwa kaolewa na kwamba kaliwa tunda kimasihara siku ya mwananchi mnataka kumsababishia nini huko nyumbani kwake ili mfurahi? mauti au? nilifikiri jf ni more than this!!!!
 
Mh una roho mbaya
 
Dah!kama ndio hivyo noma aisee!
 
Mtu akiazima simu anajilushia,
Kwa mafundi simu ,
Njia zip nyingi sana
Ndiyo maana vitu vyako muhimu lazima viwe na chimbo lisilofikika bila muhusika wa simu kufungua maana simu hata watoto sometimes huchezea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…