Mama J, shabiki wa Yanga

Mama J, shabiki wa Yanga

Amepigana na Manara! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
Hii nchi sio ya kuishiwa bundle kabisa sitaki kuamini ndani ya wakati mfupi nimeshindwa kwenda na kasi mpaka nakuwa outdated lakini mpaka Sasa tunaenda sawa na Mimi nipo na popcorn zangu waiting for part 3.
 
wanawake wanaofanya biashara kariakoo wengi wanapesa na wapo targerted kwa wanaume wapenda vitonga haijalishi mke wa mtu au upo single watoto wa mjini wao ni kuhakikisha wanakupukutisha asinge vujisha ange kua blackmailed mpaka akome. aisee pole yake.
 
Hivi inakuwaje uchi wa mama j haujaonekana lakini jamii inamuandama wakati uchi wa jamaa aliyekuwa naye ulionekana lakini hazungumziwi kabisa?
 
Wewe umetaka ulianzishe tu upya. Muache mama j bwana nadhani atakuwa kaenda Nijeria.

Hata hivyo ni fundi mzuri mbona.
 
Back
Top Bottom