Kupitia TBC jana, katika kipindi kinachozungumzia yaliyojiri wiki hiyo, nimekuona ukiwa katika ibada/misa ya kumuombea marehemu mume wako ambaye pia alikuwa raisi wa JMT. Ulipokaribishwa mbele kwa ajili ya kutoa neno, kinywa chako kilinena vema kabisa.
Katika mengi uliyoongea, kamwe hukusahau kutoa shukrani kwa Mh Raisi, mama Samia kwa kuwa pamoja nawe katika kipindi chote tangu alipofariki mumeo. Ukaweka wazi pia kuhusu uamuzi wa Raisi kumtuma binti yake kuungana na familia yako na ukamalizia kwa kuwaomba/kuwasihi kumuombea Mh Raisi ili aendelee vema katika kuisimamia na kuiendeleza kazi aliyoachiwa na marehemu mumeo ya kuihudumia Tanzania. Uungwana ulioje!
Uungwana ulioje, nilipatwa na furaha na matumaini sana:
1. Maneno yamejaa humu kuwa TBC na vyombo vingine havitaki kabisa kumzungumzia jpm, mi nimekuona kupitia TBC.
2. Threads zimejaa humu kuwa mama Samia amekupotezea wewe na familia yako, ushuhuda wako umewaumbua vibaya sana. Walivyo na roho ngumu wanaramani hata usingekaribishwa kule mbele kutoa neno.
3. Maneno yako ni ishara kuwa moyo wako umejaa imani, upendo na subra; kinyume kabisa mitazamo ya kishari ambayo maadui wa mama Samia wanataka kukuvesha.
Umewaumbua wanafiki,
Umewachinjilia mbali wafitini!
Ubarikiwe sana mama Janeth Magufuli, Ameen!
Katika mengi uliyoongea, kamwe hukusahau kutoa shukrani kwa Mh Raisi, mama Samia kwa kuwa pamoja nawe katika kipindi chote tangu alipofariki mumeo. Ukaweka wazi pia kuhusu uamuzi wa Raisi kumtuma binti yake kuungana na familia yako na ukamalizia kwa kuwaomba/kuwasihi kumuombea Mh Raisi ili aendelee vema katika kuisimamia na kuiendeleza kazi aliyoachiwa na marehemu mumeo ya kuihudumia Tanzania. Uungwana ulioje!
Uungwana ulioje, nilipatwa na furaha na matumaini sana:
1. Maneno yamejaa humu kuwa TBC na vyombo vingine havitaki kabisa kumzungumzia jpm, mi nimekuona kupitia TBC.
2. Threads zimejaa humu kuwa mama Samia amekupotezea wewe na familia yako, ushuhuda wako umewaumbua vibaya sana. Walivyo na roho ngumu wanaramani hata usingekaribishwa kule mbele kutoa neno.
3. Maneno yako ni ishara kuwa moyo wako umejaa imani, upendo na subra; kinyume kabisa mitazamo ya kishari ambayo maadui wa mama Samia wanataka kukuvesha.
Umewaumbua wanafiki,
Umewachinjilia mbali wafitini!
Ubarikiwe sana mama Janeth Magufuli, Ameen!