Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Basi jpm alistahili kufa ili asiue wengi zaidi.Mkuu serikali zote duniani huwa zinaua wale ambao wanaonekana kidomodomo nikuambie.
Unadhani Kuna uongozi unapita bila ya kuua. Watu wanazamishwa baharini wamefungwa chuma/mawe wawe chakula Cha papa.
Yaani mkuu wako wa nchi unamtukana halafu eti uachwe hivihivi.
Hata huko USA Kuna miaka walikuwa wanadhibiti wanawake wasivae nguo ndefu Kama wadhani ndio baba wa demokrasia.
Pia huwezi jua yote ya USA Mana wao wanaamua usikie wanachotaka wao sio Kama wewe unavyotaka.