Mama January atimiza miaka 70, January Makamba amsindikiza mama yake Kanisani

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki.

Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni Muislam

 
One of the luckiest family EVER
 
Mama don wa mtaa na muumini aliyetukuka wa kanisa katoliki la wazo kwa makamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…