Mama January atimiza miaka 70, January Makamba amsindikiza mama yake Kanisani

Mama January atimiza miaka 70, January Makamba amsindikiza mama yake Kanisani

Hii nchi ngumu sana kwa hesabu za makamba jr kuingia ikulu kama zinakataa, amesha kuwa mkristo mara hii
Akili kubwa wewe jamaa!!! Haya sasa kama zamu ya Mkristo yupu huko, hawachomoi, tena mkatoliki. Mwigulu tajiri wa pili baada ya Mo wote kutoka Singida sijui anajisikiaje,
 
Waislamu tusomeni dini jamani, leo ndio nimejua yusuf makamba mke wake ni mkristo, je! alishindwa nini kumshawishi mkewe kuingia katika Uisilamu! Na hapo ameingia kanisani! Hivi vyeo na pesa visitufanye tukamsahau alietuumba, na maisha ya dunia ni mafupi sana
 
Back
Top Bottom