Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Acha alipwe ubaya ubweladam dam kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha alipwe ubaya ubweladam dam kabisa
Alisma seminary za kikristo ama shule zinazomilikiwa na mission?
Natamani kuonana nae ila napata wakati mgumu pa kuanziaOne of the luckiest family EVER
Natamani kuonana nae ila napata wakati mgumu pa kuanzia
Makamba alisoma seminary za kikatoliki Kwa iyo hakuna Cha darasa kupewa na mke wake ila yy mwenyewe tuuMzee Makamba huwa anatukoga kwa vifungu vya biblia kumbe darasa lote kapewa na mama.Safi sana.🙏
Ngoja niangalieTafuta namba yake utampata mkuu
Kama upo X mtumie ujumbe huwa anajibuNgoja niangalie
Ntamlia timing kwenye events hua anahudhuria sanaKama upo X mtumie ujumbe huwa anajibu
kanisa ndio takatifu au muumini ndio anakuwa mtakatifu?
Kanisa halikupeleki pahala, wewe binafsi ndio utahukumuwa kwa matendo yako.
Mbinguni kila mtu ataulizwa aliyotenda na siyo kanisa?
Acha kiburi cha udini, Mafarisayo na Masadukayo walikuwepo na kiburi cha dini zao wakimtambia Yesu , aliwaita WANAFIKI wakubwa na aliwaonyesha hivyo huo unafiki wao na NI KAMA MAKABURI YANAYOPAKWA CHOKAA KWA NJE NA NDANI KUNA MIFUPA.
Mkuu adhabu ipoIkiwa muislamu atabadili kuachana na uislamu, nini inapaswa kuwa adhabu yake (kama ipo) kwa mujibu wa maandiko....???
Ndio hawa wanaotuambia tusifuate matendo yao, tufuate maneno. Wanaungana na watesi kwa kupewa korosho na mvinyo kidogo.Mathayo 23 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁷ Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mmefanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, nayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, bali ndani yamejaa mifupa ya wafu, na uchafu wote.
²⁸ Vivyo hivyo ninyi nanyi, kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi.
Mbegu za kitutsi hadi kuzikwa bado zimenona!Sura ya Mama bado ina nuru kama ana 50 hivi
Nilidhani huyu mama ni mchaga wa Marangu.Mbegu za kitutsi hadi kuzikwa bado zimenona!
Lijanuary litamu kama pipi...January kama unasoma huku mwenzio nipo taabani juu yako. Tangu JK anagombea mi nakuona ukiwa msaidizi wake...January nishakusogelea karibu kabisaa lkn hunioniii...January mwenzio nataabika miaka nenda miaka rudi...Dini inaruhusu January ongeza mkatoliki mmoja😂😂😂 Mimi huyoNaomba na kutumai wewe ni ke, maana kama ni dume basi inaogepesha na kufikirisha.
Mimi ndio January na nimekuelewa. Kama wewe ni wa kike nitumie namba yako nikuonjeshe utamu wa bolodinda langu ila kama dume ushindwe na ulegee kwa jina la Bwana.Lijanuary litamu kama pipi...January kama unasoma huku mwenzio nipo taabani juu yako. Tangu JK anagombea mi nakuona ukiwa msaidizi wake...January nishakusogelea karibu kabisaa lkn hunioniii...January mwenzio nataabika miaka nenda miaka rudi...Dini inaruhusu January ongeza mkatoliki mmoja😂😂😂 Mimi huyo
Jamaa ni kichwa balaa. Na ana exposure ya kufa mtu. Na amesoma chuo kikuu Cha wakatoliki huko Amerca...Ikiwa tunahitaji maendeleo yanayoenda na wakati, Rais awe January. Mama akimaliza muda wake lkn....Hayo yote unayoskia mabaya yanayomhusu January ni fitna tuu...wanamwogopa hao wenye uchu that's why wanamsagia kunguniMama ni Muhaya kutoka Bunazi Mutukula Mkristo wa kanisa moja tu takatifu la mitume. January ni mtoto muislam- mkatoriki ambaye ameishi maisha ya kuama ama sababu baba yake aliku mjeda mama nesi. January kalelewa bukoba bunazi ata vita ya Kagera alikuwa bukoba anaishi na kusoma kule uku anapima gogo na lubisi pombe maalufua sana kwa watu wa mkoa wa kagera. Trust me guys kama uliwai kukoshwa na hotuba za rais Jakaya kikwete basi Muandishi ni January Makamba a very humble man and the next president to be sasa wewe mtu wa nyanjirinji jitoe ufahamu.