Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
JumanneTingatinga alisilimu kabisa Ili amrithi Mwinyi 1995 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JumanneTingatinga alisilimu kabisa Ili amrithi Mwinyi 1995 😂😂
Huoni kua ikulu anaitafta kwa udi na uvumba kwasababu hapo tayari ameonekana kanisani akiwa na mama yake ambae ni mkristo tena mkatoliki,mmmh hii movie inahitaji jicho la ndani lakini sawa tu pengine yeye anaweza akabalance mambo tofauti na wa kutoka dini moja.Hii nchi ngumu sana kwa hesabu za makamba jr kuingia ikulu kama zinakataa, amesha kuwa mkristo mara hii
January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki.
Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni Muislam
Mmmh labda za pwani ndio ziko hivo lakini sio bara,kwa pwani ni kawaida kabisa ko hata makamba simushangaiFamilia zetu nyingi za Kitanzania ni familia-mseto.Haishangazi mimi nikikuambia nimekulia madrasa.
2030JMakamba atachukua fomu 2025?
JK hajasoma shule ya mission au seminary.Makamba sawa na JK wamesoma shule za mission .....bahati waliyopata kufika walipofikia.....
Haujaona au kukutana nazo tu.Mmmh labda za pwani ndio ziko hivo lakini sio bara,kwa pwani ni kawaida kabisa ko hata makamba simushangai
Ndio hivi hivi Kikwete alipata kura nyingi kwa sababu hendisam😁Kama ndo vigezo vyenu ivyo vya kumpata rais wa tz kama taifa bado tuna safar ndefuuuu sana 😃
Eeh atachukua form ya mwanae pale Feza Schools ili aanze form 5&6JMakamba atachukua fomu 2025?
Dah hatar sana 🤣Ndio hivi hivi Kikwete alipata kura nyingi kwa sababu hendisam😁
Nadhani FaizaFoxy ana kitu cha kujifunza hapa! Kama ana akili lakini ya kufikiri!January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki.
Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni Muislam
Kutoka dini gani kwenda dini ganiHuyu mwamba ndoto ya urais unamtesa Sana. Zote hizi ni jitihada za kutaka kuonekana kuwa anafaa Kwa urais 2030.
Na kuna tetesi alibadili dini
Kutoka dini gani kwenda dini? Lini ?Huyu mwamba ndoto ya urais unamtesa Sana. Zote hizi ni jitihada za kutaka kuonekana kuwa anafaa Kwa urais 2030.
Na kuna tetesi alibadili dini
Maza bado yupo fiti sana.....70 and fit.January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki.
Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni Muislam
Ikiwa muislamu atabadili kuachana na uislamu, nini inapaswa kuwa adhabu yake (kama ipo) kwa mujibu wa maandiko....???Allah (s.w) hiyo ndoa haitambui in short kwa mujibu wa mtume Muhammad (s.a.w) hao wana zini tu, alafu usicho kijua uislamu haulazimishi mtu kuwa Muslim, Allah ana tuambia hata kama wote tumuasi ulimwengu mzima basi hata pungukiwa na kitu, kuwa Muslim kwa yoyote yeye Allah hapati manufaa yoyote,
Huu ni uchawiJina January ni la kikatoliki linatokana na Mtakatifu Januarius, askofu na Shahidi, aliuawa na maadui wa wakristo mwaka 309BK, damu yake imehifadhiwa kama masalia ktk kanisa moja huko Italia na kwa miaka zaidi ya 400 mpk sasa mahujaji huenda kuhiji na kuona masalia hayo, tarehe 19 September ndiyo sikukuu ya Mtakatifu Januarius na damu yake hutolewa nje ikiwa ndani ya chombo ili mahujaji washuhudie, miujiza mingi hutendeka kupitia damu hiyo, muujiza mkubwa uliozoeleka ni kuwa kila mwaka damu hiyo huyeyuka na kuwa mbichi kabisa tena damu hai kama inayotembea mwilini mwa mtu, wataalamu wa afya wamethibitisha hilo, na kuyeyuka kwa damu hiyo hupewa maana mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuashiria mwaka wa mavuno, bahati, mafanikio, kuna wakati hata wachumba wakitaka kujua kama huyu ni mke sahihi wa maisha yake aliyepangiwa na Mwenyezi Mungu wanagusa damu hiyo, ikiyeyuka ndo mwenyewe, ikibakia imeganda sio yeye, wengine walifikia hatua ya kutaka kuitumia kujua kama mke au mume ni mwaminifu ktk ndoa, mtoto huyu ni wake au wa nje nk. Kanisa likathibiti matumizi yasiyo kuwa ya kinidhamu maana ilikuwa inawaumbua wengi, kuna mwaka askofu aliitoa damu hiyo nje ikagoma kuyeyuka, huo mwaka ulikua mgumu sana na wenye mabalaa mengi nchini humo.
Kwa maelezo zaidi, soma
![]()
What you need to know about the liquefaction of St. Januarius’ blood
On Sept. 19 and on two other occasions each year the blood of St. Januarius usually liquifies — a miraculous occurrence no one can explain.www.catholicnewsagency.com
Akija vijiweni kuomba kura mabodaboda anasema tumuite Chidi CombatMbona watu hawamshangai Askofu Rashidi mbunge wa Kawe