Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hivi ndivyo JK alipata kura nyingi za wanawake!Yani lijanuary ni lizuriii, hiyo height...Yani linafaa kuwa Rais kabisa. Tupate Rais mrefu wakati wake ukifika..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ndivyo JK alipata kura nyingi za wanawake!Yani lijanuary ni lizuriii, hiyo height...Yani linafaa kuwa Rais kabisa. Tupate Rais mrefu wakati wake ukifika..
Kumbe!Hakuna ugumu, uislamu wa January ulikua wa ukubwani, January kakulia na kulelewa kyaka Kagera kwa Bibi mzaa mama na alikua anaenda Sana kanisani na alibatizwa katoliki wakati huo Baba yake akiwa vitani Uganda , na kavaa Sana rozari na Wana Kagera hasa wa kyaka wanamjua kama mkatoliki ,
Tufanye maza alishindwa kumshawishi mzee kuwa mgalatia.Mzee alishindwa kumshawishi huyu maza ku slim ?
Nikikumbuka ile video alivyowafokea wale waandishi wa habar 😃😃 nahic ata hii safar ya kumsindikiza ameikataa kwa kufokaaaMzee ndio kagoma kumsindikiza mamsapu wake?
Kama ndo vigezo vyenu ivyo vya kumpata rais wa tz kama taifa bado tuna safar ndefuuuu sana 😃Yani lijanuary ni lizuriii, hiyo height...Yani linafaa kuwa Rais kabisa. Tupate Rais mrefu
wakati wake ukifika..
Not pure luck, baba yao alijua kucheza na fursaOne of the luckiest family EVER
Do u think kipara is still putting on his dad’s shoes ? Very wrong my dear.Nikishakupa ndio itafuta hio plagiarism aliyofanya na kumuabisha Rais wake (haswa Internationally)?
The day Kipara ataamua kuvaa viatu vyake halisi na kuacha kutembea Kwa mbeleko ya “Baba” , maybe we will witness something… lakini until then, tupo tunasuburi. InshaAllah
January makamba baada ya kumaliza form six alipata Kazi kigoma katika mashirika kipindi cha mauaji ya kimbali alikuwa analipwa 4000USD just imagine those days 1996 kulipwa kias Kama hichoNot pure luck, baba yao alijua kucheza na fursa
I know the guy naturaly ni smart, but them bila connection za mzee angekuwa hapo?January makamba baada ya kumaliza form six alipata Kazi kigoma katika mashirika kipindi cha mauaji ya kimbali alikuwa analipwa 4000USD just imagine those days 1996 kulipwa kias Kama hicho
TapeliTingatinga alisilimu kabisa Ili amrithi Mwinyi 1995 😂😂
Kabla uwaziri kuondoka hamkuongea hayaJina January ni la kikatoliki linatokana na Mtakatifu Januarius, askofu na Shahidi, aliuawa na maadui wa wakristo mwaka 309BK, damu yake imehifadhiwa kama masalia ktk kanisa moja huko Italia na kwa miaka zaidi ya 400 mpk sasa mahujaji huenda kuhiji na kuona masalia hayo, tarehe 19 September ndiyo sikukuu ya Mtakatifu Januarius na damu yake hutolewa nje ikiwa ndani ya chombo ili mahujaji washuhudie, miujiza mingi hutendeka kupitia damu hiyo, muujiza mkubwa uliozoeleka ni kuwa kila mwaka damu hiyo huyeyuka na kuwa mbichi kabisa tena damu hai kama inayotembea mwilini mwa mtu, wataalamu wa afya wamethibitisha hilo, na kuyeyuka kwa damu hiyo hupewa maana mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuashiria mwaka wa mavuno, bahati, mafanikio, kuna wakati hata wachumba wakitaka kujua kama huyu ni mke sahihi wa maisha yake aliyepangiwa na Mwenyezi Mungu wanagusa damu hiyo, ikiyeyuka ndo mwenyewe, ikibakia imeganda sio yeye, wengine walifikia hatua ya kutaka kuitumia kujua kama mke au mume ni mwaminifu ktk ndoa, mtoto huyu ni wake au wa nje nk. Kanisa likathibiti matumizi yasiyo kuwa ya kinidhamu maana ilikuwa inawaumbua wengi, kuna mwaka askofu aliitoa damu hiyo nje ikagoma kuyeyuka, huo mwaka ulikua mgumu sana na wenye mabalaa mengi nchini humo.
Kwa maelezo zaidi, soma
![]()
What you need to know about the liquefaction of St. Januarius’ blood
On Sept. 19 and on two other occasions each year the blood of St. Januarius usually liquifies — a miraculous occurrence no one can explain.www.catholicnewsagency.com
Yule mgogo aliyejiita jumanne?😂😂 alikua anakuja nyumbani kwa Babu wanadanganyana😂😂Tingatinga alisilimu kabisa Ili amrithi Mwinyi 1995 😂😂
Yani lijanuary ni lizuriii, hiyo height...Yani linafaa kuwa Rais kabisa. Tupate Rais mrefu wakati wake ukifika..
Mzee mkaksi sanaNikikumbuka ile video alivyowafokea wale waandishi wa habar 😃😃 nahic ata hii safar ya kumsindikiza ameikata kwa kufokaaa
nitakuwa wa mwisho kuamini.Fomu ni moja tu
Kunahitajika kuwa na degree in rocket science kubaini hilo??Do u think kipara is still putting on his dad’s shoes ? Very wrong my dear.
So what is your last conclusion are we taking the man in or out?Kunahitajika kuwa na degree in rocket science kubaini hilo??