Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Halafu bado watu wanamuita January Makamba ni kiongozi kijana, mtu ambae yupo over 50yrs🤣🤣🤣January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki. Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni MuislamView attachment 3130792