Boay Hotay
Senior Member
- Jul 8, 2023
- 103
- 142
Hongera mama Nakutakia afya njema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba safari ya matumaini ndio ina anza 😀2025 😂😂😂
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
Makamba Yusuf siyo kwamba kasoma shule za kikatoliki yule mzee?Mzee Makamba huwa anatukoga kwa vifungu vya biblia kumbe darasa lote kapewa na mama.Safi sana.🙏
2025 😂😂😂
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
Hii nchi ngumu sana kwa hesabu za makamba jr kuingia ikulu kama zinakataa, amesha kuwa mkristo ma
Ameutimiza vema msemo ukipenda ua penda na boga lake.Mzee Makamba huwa anatukoga kwa vifungu vya biblia kumbe darasa lote kapewa na mama.Safi sana.🙏
Ni shule ipi ya mission aliyosoma JK? Msoga, Lugoba, Kibaha ama Tanga Tech?Makamba sawa na JK wamesoma shule za mission .....bahati waliyopata kufika walipofikia.....
Hakuna ugumu, uislamu wa January ulikua wa ukubwani, January kakulia na kulelewa kyaka Kagera kwa Bibi mzaa mama na alikua anaenda Sana kanisani na alibatizwa katoliki wakati huo Baba yake akiwa vitani Uganda , na kavaa Sana rozari na Wana Kagera hasa wa kyaka wanamjua kama mkatoliki ,Hii nchi ngumu sana kwa hesabu za makamba jr kuingia ikulu kama zinakataa, amesha kuwa mkristo mara hii
Dingi mwenyewe kalala mbele sijui yuko wapi, leo angechafua hali ya hewa tena kama kule DodomaSura ya Mama bado ina nuru kama ana 50 hivi
Badobyuko hai mtafute umuulize stakuambiaa plus majina aliyotumia huko.......Ni shule ipi ya mission aliyosoma JK? Msoga, Lugoba, Kibaha ama Tanga Tech?
Mzee alishindwa kumshawishi huyu maza ku slim ?January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki.
Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni Muislam
Mitume wa wapi ?2025 😂😂😂
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
Kassimu Majaliwa kaoa mkatoliki hadi Leo wako pamoja na mama marry huenda kanisani kama kawaidaMapenzi yana nguvu mno;
1. Makamba mwislamu typical kaoa mkatoliki aliyekunywa maji ya bendera.
2. Mwanamuziki Werrason anayeshinda kwenye kumbi za starehe akipiga show kaoa mlokole wa ukweli na wamedumu miongo kadhaa.
Tuyaheshimu mapenzi. Ukipata mtu mkapendana hata awe single maza songeni mbele maana hakuna wa kuwazuia.