Uwaziri ukiisha ndio anakumbuka kanisa katoliki aiseeeee what!!!!!January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki.
Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni Muislam
Poleni kanisa katoliki hizi pole zimufikie mwadhama kardinali