Sure ni kama Professor Assad,mission zinasaidia sanaMakamba sawa na JK wamesoma shule za mission .....bahati waliyopata kufika walipofikia.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure ni kama Professor Assad,mission zinasaidia sanaMakamba sawa na JK wamesoma shule za mission .....bahati waliyopata kufika walipofikia.....
Ni kweli magufuri aliwahi KUFA,sababu muislam,Kikwete hadi leo yupo sababu ya ukatoliki wake
Na juzi kafungwa na mtaani naona sukari ilipandaMzee mkaksi sana
Alisma seminary za kikristo ama shule zinazomilikiwa na mission?Nilisikia alisomaga Seminary za Kikristo , mission.
Zamani Shule zilikuwa za Mision tu.
Kumbe ni mwana lunyasi, pole yakeNa juzi kafungwa na mtaani naona sukari ilipanda
dam dam kabisaKumbe ni mwana lunyasi, pole yake
mbatizaji nini tena mwamba he can make a good president tatizo anaweza kuwabana wapigaji au unasemaje mbatizaji2025 😂😂😂
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
January amezeeka kuliko mama yake!!!January Makamba akiwa na mama yake mzazi pamoja na mdogo wake kwenye Ibada ya Misa ndani ya Kanisa Katoliki.
Ibada hiyo ilikuwa ni ya shukrani kwa mama yake kutimiza umri wa miaka 70. Mama yake January ni mkatoliki haswaa na ameolewa kwa miaka 50 na Mzee Makamba ambaye ni Muislam
Hivi mzee Makamba ana mke mmoja tu?Mzee ndio kagoma kumsindikiza mamsapu wake?
ule waraka uliokuwa na baraka zote za Jesuits waliupinga. Matokeo yake yataonekana soonHuoni kua ikulu anaitafta kwa udi na uvumba kwasababu hapo tayari ameonekana kanisani akiwa na mama yake ambae ni mkristo tena mkatoliki,mmmh hii movie inahitaji jicho la ndani lakini sawa tu pengine yeye anaweza akabalance mambo tofauti na wa kutoka dini moja.
kanisa ndio takatifu au muumini ndio anakuwa mtakatifu?2025 😂😂😂
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
Sijui mkuuHivi mzee Makamba ana mke mmoja tu?