sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nyumba ya Nani? Ya Mama Mkwe? Au Mama Mkwe ndio kaenda Kwa Watoto wake huko ndio akabandika hizo picha kwenye nyumba ya mwanamke mwenzie (mkamwana)?Ni tukio la kusisimua la visa vya kina mama mkwe na wake zetu, limetokea juzi tukiwa tunapiga story na rafiki yangu.
Mama yake aliweka sebuleni picha ambayo rafiki (mtoto wake) yupo na marafiki wengine akiwemo ex
Wife alipofika akazingoa kabisa, mama akaanza kulalamika kagharamika na kutumia muda mwingi kuandaa picha za mtoto wake,
Acha umbea.Ni tukio la kusisimua la visa vya kina mama mkwe na wake zetu, limetokea juzi tukiwa tunapiga story na rafiki yangu.
Mama yake aliweka sebuleni picha ambayo rafiki (mtoto wake) yupo na marafiki wengine akiwemo ex
Wife alipofika aliitoa, mama akaanza kulalamika kagharamika na kutumia muda mwingi kuchagua picha nzuri, alienda mbali kwa kusema picha iliyopigwa ni sehemu ya maisha ya mtoto wake na maisha aliyopitia hayawezi kufutika
Binafsi nimempongeza mke wake kwa kuwa na akili maana njlitegemea nae ataweka picha ya ex wake,
He jamani mbona mkali hivyo?Acha umbea.
Hujaombwa ushauri. Kiherehere kimekusababisha uje uanzishe uzi kwa ajili ya maisha ya watu.
Mkuu,He jamani mbona mkali hivyo?
Mi huwa nasema kila siku, wanaume wa siku hizi ni wambea sana,ndio maana zile shingo za zamani zina kinundu hazionekani kabisaaaa....yaani ukimpa mwanaume Siri amini usiamini umeimwagaMkuu,
Mwanaume unapaswa kuwa na guts. Kasikia umbea, angebaki nao. Kuna sehemu popote kaombwa ushauri? Likamshinda na yeye kuamua kuja jukwaani kuomba ushauri?
Unajua nini? Pengine ile familia ikawa humu, comments za wanazengwe zinaweza kutibua na kulianzisha upya baada ya kuzipitia. Jambo ambalo huenda limeshamalizika.
fuga paka uzeeke naeHaya yote yangeepukwa kwa kukataa ndoa, now its too late. Hakuna cha kufanya.
Mkuu sio swala la ukilaza au kuwa na akili,huu Uzi wanaelewa wambea tu yani wale mashankupe yaliyoshindikana!.. mwenyewe Sijaelewa hata usijilaumu mambo yana watu wake haya...😂Mimi ni kilaza sijaelewa
Eti shingo za zamani zenye kinundu..... hahahaaa! ngoja nianze kuangalia wanaúme wenzangu,nione kama kweli HAWAPO.... daaah! JF ina mambo sana.Mi huwa nasema kila siku, wanaume wa siku hizi ni wambea sana,ndio maana zile shingo za zamani zina kinundu hazionekani kabisaaaa....yaani ukimpa mwanaume Siri amini usiamini umeimwaga
🤣🤣🤣Chunguza uone zilivyo adimuEti shingo za zamani zenye kinundu..... hahahaaa! ngoja nianze kuangalia wanaúme wenzangu,nione kama kweli HAWAPO.... daaah! JF ina mambo sana.
Hii inamhusu mwenyewe hapa kazunguka tu.Mkuu,
Mwanaume unapaswa kuwa na guts. Kasikia umbea, angebaki nao. Kuna sehemu popote kaombwa ushauri? Likamshinda na yeye kuamua kuja jukwaani kuomba ushauri?
Unajua nini? Pengine ile familia ikawa humu, comments za wanazengwe zinaweza kutibua na kulianzisha upya baada ya kuzipitia. Jambo ambalo huenda limeshamalizika.