Mama kabandika picha sebuleni ambazo yumo ex, mke kazing'oa. Hapa kosa la nani?

Mama kabandika picha sebuleni ambazo yumo ex, mke kazing'oa. Hapa kosa la nani?

Lamomy eti mama mkwe aje abandike picha za ex wa Countrywide utafanyaje?maana wewe Kwa Sasa ndio una busara za mke mwema🕵️🕵️
Nitamkumbusha mama mkwe wote me na yeye ni wapitaji, huo ukoo wa kina Kantry sio wetu linalotubeba ni Mrs Wide tyuuu!!
Nitamshawishi bibi naye achukue pics za ex wa baba mkwe akabandike kwake 😂😂😂😂
 
Mwambie huyo mama yako hapo sio kwake ni kwako na mke wako yeye akaweke picha kwake na kwa mume wake yaani baba yako.
 
JE, HUU NI UUNGWANA?

Mama wa rafiki alikuja na picha ya frem ili aiweke sebuleni, kwenye picha yupo yeye, rafiki yake mwengine na ex wake.

mke wake alipofika nyumbani aliitoa hio picha, mama akaanza kulalamika kagharamika na kutumia muda mwingi kuchagua picha.

mama akaanza kumwambia kachagua picha pekee aliyoipenda ambayo mtoto wake yupo na rafiki yake aliemzoea tangu wakiwa wadogo, wife alipoanza kulalamika kuhusu huyo ex, mama akamwambia ex ni sehemu ya maisha yaliyopita ya mtoto wake na hawezi kuifuta historia ya mtu kwahio ampuuze huyo ex.

Binafsi nimempongeza mke wake kwa kuwa na akili maana njlitegemea nae ataweka picha ya ex wake.
Hii stori inanikumbusha miaka ya nyuma ambapo rafiki yangu na mkewe walipotembelewa na dada wa rafiki yangu. Dada alifika ijumaa ilipofika jumatatu rafiki yangu na mkewe walienda kazini waliporudi walikuta nyumba takriban yote imekuwa rearranged kuanzia masofa, tv dinning area, jikoni, bathroom na hata laundry area yaani alichokuwa hakubadili ni rangi za ukutani tu! Eee kulizuka mzozo mkubwa mno kiasi nikaamua kukaa mbali sana kwa mwezi mzima!
 
Mkuu sio swala la ukilaza au kuwa na akili,huu Uzi wanaelewa wambea tu yani wale mashankupe yaliyoshindikana!.. mwenyewe Sijaelewa hata usijilaumu mambo yana watu wake haya...😂
Hakika huu uzi sio kwa ajili yetu.
 
Nitamkumbusha mama mkwe wote me na yeye ni wapitaji, huo ukoo wa kina Kantry sio wetu linalotubeba ni Mrs Wide tyuuu!!
Nitamshawishi bibi naye achukue pics za ex wa baba mkwe akabandike kwake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]
 
Utakuta mtoto ni wa singo mama na hamjuwi baba'ke na anaishi na mama'ke na kuleta wanawake zake humohumo, kaachana na wa kwanza sasa kaweka mwengine hapohapo.

Hiyo nyumba haina maadili.
 
Back
Top Bottom