Nitamkumbusha mama mkwe wote me na yeye ni wapitaji, huo ukoo wa kina Kantry sio wetu linalotubeba ni Mrs Wide tyuuu!!Lamomy eti mama mkwe aje abandike picha za ex wa Countrywide utafanyaje?maana wewe Kwa Sasa ndio una busara za mke mwema🕵️🕵️
Hii stori inanikumbusha miaka ya nyuma ambapo rafiki yangu na mkewe walipotembelewa na dada wa rafiki yangu. Dada alifika ijumaa ilipofika jumatatu rafiki yangu na mkewe walienda kazini waliporudi walikuta nyumba takriban yote imekuwa rearranged kuanzia masofa, tv dinning area, jikoni, bathroom na hata laundry area yaani alichokuwa hakubadili ni rangi za ukutani tu! Eee kulizuka mzozo mkubwa mno kiasi nikaamua kukaa mbali sana kwa mwezi mzima!JE, HUU NI UUNGWANA?
Mama wa rafiki alikuja na picha ya frem ili aiweke sebuleni, kwenye picha yupo yeye, rafiki yake mwengine na ex wake.
mke wake alipofika nyumbani aliitoa hio picha, mama akaanza kulalamika kagharamika na kutumia muda mwingi kuchagua picha.
mama akaanza kumwambia kachagua picha pekee aliyoipenda ambayo mtoto wake yupo na rafiki yake aliemzoea tangu wakiwa wadogo, wife alipoanza kulalamika kuhusu huyo ex, mama akamwambia ex ni sehemu ya maisha yaliyopita ya mtoto wake na hawezi kuifuta historia ya mtu kwahio ampuuze huyo ex.
Binafsi nimempongeza mke wake kwa kuwa na akili maana njlitegemea nae ataweka picha ya ex wake.
Hakika huu uzi sio kwa ajili yetu.Mkuu sio swala la ukilaza au kuwa na akili,huu Uzi wanaelewa wambea tu yani wale mashankupe yaliyoshindikana!.. mwenyewe Sijaelewa hata usijilaumu mambo yana watu wake haya...😂
Mama apuuziwe.
Hili suala la yeye kutopenda pesa limekufanya umuone huyu ni malaika[emoji23]Lamomy eti mama mkwe aje abandike picha za ex wa Countrywide utafanyaje?maana wewe Kwa Sasa ndio una busara za mke mwema[emoji2760][emoji2760]
[emoji23][emoji23]Nitamkumbusha mama mkwe wote me na yeye ni wapitaji, huo ukoo wa kina Kantry sio wetu linalotubeba ni Mrs Wide tyuuu!!
Nitamshawishi bibi naye achukue pics za ex wa baba mkwe akabandike kwake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]