Mama Kanumba afurahia mpaka machozi hukumu ya Lulu, asema anaenda makaburini moja kwa moja kumzika rasmi

yule mchungaji anayesema kanumba anatumikishwa na free mason, yuko wapi aje atoe utetezi humu, wasije wakamchukua na huyo lulu, lulu imemkuta bahati mbaya, yule aliyempigia simu usiku siku ya tukio keshajulikana?
Alikuwa ni Pasua Kichwa,aka Kipusa.
 
NAISHUKURU MAHAKAMA IMETENDA HAKI
Mama wa marehemu Stephen Kanumba akizungumza baada ya Mahakama Kuu kumhukumu @elizabethmichaelofficial kifungo cha miaka miwili kwa kosa la kumuua bila kukusudia Stephen Kanumba
Lakini pia ikumbukwe kuwa marehemu Kanumba alianza kuwa na mahusiano na Lulu akiwa na chini au na miaka 17 (LULU) kisheria hakutakiwa Kanumba kuwa mpenzi wa umri kama huo, ambapo sheria inasema ni sawa kufanya ubakaji, hivyo mama kanumba ajue kuwa mwanae hakufanya jambo jema kuwa na mahusiano na mtoto huyo.
 
Mawakili watakua wanatumia case study hii case,watakua wanasema kama Lulu aliua na akala mvua mbili tu,kwa nini asiwe mteja wangu??
Mkuu ikitokea Mambo yamebadilika kufikia hivyo..Kuna uwezekano wa kuzaliwa visasi..Mfano Kanumba angekua na Mtoto Kabla ya kuwa na mahusiano na Lulu..Mtoto Leo angekua kwenye hali Gani? Baada ya Kifungo chake nini atapata? Kwa Mzazi ni rahisi kusamehe.. Je Mtoto angesamehe?
 
Ujinga utatuua Tanzania hv hapa si mlikua mnalilia lisu sijui alete wapelelezi Sasa wakija ndo itabadilisha kutopigwa risasi sheria lazima ifuatwe mbona mnapiga mwizi je ndo mali zako zilizoibiwa zitarudi


huenda wewe ndo mjinga !huenda hukunielewa !masuala ya kaka wa taifa yameingiaje hapa ! sijakataa sheria ifuate mkondo ila kimahesabu miaka 2 na wewe umempoteza mwanao ni tofauti kbs aendelee tu kumlilia mwanaye lakini sio afurahi eti had machozi ya furaha !labda usiwe mama hujapiota labor !kifo cha mtoto kinauma!nn miaka 2 jela?
 
Lulu kufungwa faida gani kapata sasa uyo maza!
Ndiyo maana kuna mahakama na magereza pia... Kusema kwamba haisaidii kitu inaonekana hujui maana ya uwepo wa mahakama otherwise kusingekuwa na haja ya hukumu kama hizi kuwepo maana mtu akisha kufa harudi.. Hii ni kutoa funzo kwake na kwa wengine ili matendo ya hivi yapungue katika jamii
 
Kweli, miaka miwili wamembeba tu.
 
Acha kuwajibu wapumbavu
 
Nini kinafurahisha hapo, kuzikwa na kuwekwa kerezani sawasawa
GEREZANI =KABURINI[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] ?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…