Mama Kanumba Atoa siri za mwanae

Duh...afadhali Mama amefafanua, siku zote nimekuwa naumiza kichwa kumbe Eliza alialikwa kufanya maombi na sio kama waja wanavyochonga huku kitaa, na divai ilikuwepo kusindikiza maombi.
 

Endelea basi binamu
 
Halooo ya mmeba pochi hahah utakuwa unafaidi chenchi
Yaniii ntafaidi hatariii!!Ntafaidi kwenda sehemu boss wangu atakazokua anaenda!ntawaona watu wengi masuperstar...yani naweza kumpiku kwa miumbeya tatizo,tutafikia hatua ya kupiga picha na Le mutuz le billionea,na wengine kibaoo!
Msukule wa Warumi...
 
Hii tabia ya kuchukua habari globalpublisher na kuzileta huku zimeshika kasi sn,inakeraaaaaa.
Mleta mada kaleta kama ilivyo toka huko.

Kama umekerekwa chukua ndimu urambe!!Wengi haitukeri bali inatufurahisha!!Hatuna muda wa kununua magazeti au kuingia huko globo...ni sawa mtu akicopy habari Reuters,TMZ,au BBC utachefuka!?unless otherwise una yako!!
 
Kama umekerekwa chukua ndimu urambe!!Wengi haitukeri bali inatufurahisha!!Hatuna muda wa kununua magazeti au kuingia huko globo...ni sawa mtu akicopy habari Reuters,TMZ,au BBC utachefuka!?unless otherwise una yako!!

Kwani kaitwaaa?????
 
Kama umekerekwa chukua ndimu urambe!!Wengi haitukeri bali inatufurahisha!!Hatuna muda wa kununua magazeti au kuingia huko globo...ni sawa mtu akicopy habari Reuters,TMZ,au BBC utachefuka!?unless otherwise una yako!!
Hajui ndio maana vimeitwa vyombo vya habari? Anataka habari itoke kwenye vyombo vya jikoni inahuuuu achana nae
 
Hahaha Huyu nae Mama Kanumba anapenda U Star sana!
 

Kanumba alikuwa mtu poa sana tofauti na Ray ana majivuno na kujisikia sana, kama hakufahamu na mmekaa sehemu hata ukimuongelesha anaweza asikujibu akakuangalia tuu,
 
Kanumba alikuwa mtu poa sana tofauti na Ray ana majivuno na kujisikia sana, kama hakufahamu na mmekaa sehemu hata ukimuongelesha anaweza asikujibu akakuangalia tuu,

Nawe unamuongelesha wa niniii???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…