Alishafikisha miaka18si alikuwa mpaka na leseni?uwongo mwinginee hauna maana.Kama kanumba asingekufa angefungwa jela miaka 30 au zaidi kwa kutembea na binti wa Chini ya miaka 18
Hakuwa na miaka 18 wakati yanatokeaAlishafikisha miaka18si alikuwa mpaka na leseni?uwongo mwinginee hauna maana.
Alishafikisha miaka18si alikuwa mpaka na leseni?uwongo mwinginee hauna maana.
Pamoja na yote mkuu lakini kwa sasa hivi hisia zake zipo juu sana hata zimezuia uwezo wa ubongo wake kufanya kazi vizuri.....kwa hiyo amepoteza udhibiti wa matendo yake na maneno yake........( namtazama katika nadharia ya uchungu wa mwana )......Natamani ungejua yote anayopayuka huyu mama
Na yeye,ajihoji,mwanae alitenda sahihi? Na yeye kama mzazi alichukua hata gani Kabla ya mauti kumfika mwanae?
Siku moja baada ya Elizabeth Michael 'Lulu' kuhukumiwa kifungo cha kutumikia jela miaka miwili kwa kosa la kuua bila kukusudia, mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, Frora Mutegoa amesema wanaombeza kwa kuishukuru mahakama wamuache kwa hakuna mwenye uchungu zaidi yake.
Jana baada ya Mahakama Kuu kumtia hatiani mwigizaji huyo na kumpa adhabu ya kifungo cha miaka miwili jela, Mama Kanumba aliishukuru mahakama akisema imetenda haki jambo ambalo lilizusha gumzo wengi wakisema hakupaswa kufurahia adhabu hiyo.
Akihojiwa na waandishi wa habari nje ya mahakama kuu jijini Dar es salaam jana Jumatatu baada ya hukumu kutolewa alisema anashukuru kwa kuwa haki imetendeka na kwamba atakwenda kumzika rasmi mtoto wake.
Hata hivyo, Mwananchi leo Jumanne amesema asibezwe kwa kauli hiyo kuwa hakuna anayejua uchungu anaoupata kila siku.
"Mimi sijui kama ninafurahia kama wanavyodai, waulize kwamba, yeye Lulu alipokufa mwanangu Kanumba alifurahia? Mimi ni mkristo, sipendi kuona baya likimfika binadamu mwenzangu, lakini Lulu ameenda miaka miwili jela na atarudi, je mwanangu atarudi lini? nitamwona wapi tena"? Amehoji.
Anamsingizia mtoto wa watu bila sababu. Anayetoa na kuchukua uhai ni Mwenyezi Mungu peke yake. Aachane na Lulu. Kanumba naye ana makosa yake. Tusameheane ili maisha yasonge.Tunatofautiana mitazamo tu yeye angeruhusu moyo tu ukubali sababu huwezi shindana na nature zaid tumuombee tu kanumba tuamini ipo siku tutaonana nae sie ni wapangaji tu wa dunia hii hapa sio kwetu
kwa hiyo umeamini hiyo miaka iliyorudishwa nyuma? Muacheni Marehemu apumzike kwa amani.Kama kanumba asingekufa angefungwa jela miaka 30 au zaidi kwa kutembea na binti wa Chini ya miaka 18
Huyo mama nae aacha ulalamishi usio na msingi. Huyo mwanae naye alikuwa na makosa.Kama kanumba asingekufa angefungwa jela miaka 30 au zaidi kwa kutembea na binti wa Chini ya miaka 18
Sheria haiangalii akili inaangalia umri uko chini ya 18Chini ya miaka 18 lakini akili na mambo yake ni kama ana zaidi ya miaka 25 hapo inakuwaje?
Kumsukuma MTU ni kosa?Kama ni serial kila haitomuathiri,kama ni kweli alimsukuma lulu hana amani though anapretend kua na amani maisha yake yote!
Kumpiga mtu ni kosa?Kumsukuma MTU ni kosa?
Mimi mwenyewe nilipata leseni bila kufikisha umri unajifanya mgeni tz. Nenda pale tra na laki yako uone kama utaulizwa umri.Alipataje leseni ya udereva ilhali ni mtoto? Au magumashi
Na kama mazazi aliwezaje kumuruhusu kwenda Club usiku? Si kuonyesha tayari amepevuka.
Ilikuwa miaka 14, Rebecca alienda mahakamani mwaka juzi kupinga hiyo sheria na ilikubaliwa sijajua kama imebadilishwa tayari.kwa hiyo umeamini hiyo miaka iliyorudishwa nyuma? Muacheni Marehemu apumzike kwa amani.
Sheria ya ndoa inasema mwanamke anaweza kuolewa kuanzia miaka 16 ( wanasheria mnisahihishe kama sipo sahihi )sidhani kama angefungwa
w
Tuachane na mambo ya hisia ukweli ni kwamba Lulu alikuwa anabakwa.Siku moja baada ya Elizabeth Michael 'Lulu' kuhukumiwa kifungo cha kutumikia jela miaka miwili kwa kosa la kuua bila kukusudia, mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, Frora Mutegoa amesema wanaombeza kwa kuishukuru mahakama wamuache kwa kuwa hakuna mwenye uchungu zaidi yake.
Jana baada ya Mahakama Kuu kumtia hatiani mwigizaji huyo na kumpa adhabu ya kifungo cha miaka miwili jela, Mama Kanumba aliishukuru mahakama akisema imetenda haki jambo ambalo lilizusha gumzo wengi wakisema hakupaswa kufurahia adhabu hiyo.
Akihojiwa na waandishi wa habari nje ya mahakama kuu jijini Dar es salaam jana Jumatatu baada ya hukumu kutolewa alisema anashukuru kwa kuwa haki imetendeka na kwamba atakwenda kumzika rasmi mtoto wake.
Hata hivyo, Mwananchi leo Jumanne amenukuliwa akisema asibezwe kwa kauli hiyo kuwa hakuna anayejua uchungu anaoupata kila siku.
"Mimi sijui kama ninafurahia kama wanavyodai, waulize kwamba, yeye Lulu alipokufa mwanangu Kanumba alifurahia? Mimi ni mkristo, sipendi kuona baya likimfika binadamu mwenzangu, lakini Lulu ameenda miaka miwili jela na atarudi, je mwanangu atarudi lini? nitamwona wapi tena"? Amehoji.