Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shawarma sioItakuwa ni ile chapati ya kuchanganya na kuku wa kuokwa
baba kija kashindwa kutamka au haijui kweliSio shawarma?
Wanakuwaga na kusudi hao anajua kakuweza. Mimi hunipelekeshi.
Single mothers kibao wametiwa mimba wakakimbiwa wakafikisha miezi tisa bila kusumbua mtu.
Tulio soma cube tume muelewa baba kijacho kashindwa tamka nenoShaulama au shawarma?
Mpaka babu wa ushirombo umeweza tamka afu yeye wa dar es salaam anashindwaInatamkwa "shawama"
Naamini haijui - wala sishangai kwamba hajui. Sio chakula maarufu ukanda huu.baba kija kashindwa kutamka au haijui kweli
Tukiwaambia watu watembee wanaona uharibifu wa pesaNaamini haijui - wala sishangai kwamba hajui. Sio chakula maarufu ukanda huu.
Kama circle yako haina wapemba waarabu wahindi na sio mtu wa kushinda kariakoo posta unaweza usiijue shawarma
ko mzee ulivyo tusisitiza tupende ugali na matembele, kumbe ni sera tu🙄😆Inatamkwa "shawama" Ni moja kati ya vyakula nivipendavyo sana...😋