Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Dar kuna vyakula vya ajabu.. kwa vyakula hivyo anza kutenga budget ya kumlipa mwalimu wa kumfundisha mda wa ziada shuleni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hili andikoSio shawarma?
Wanakuwaga na kusudi hao anajua kakuweza. Mimi hunipelekeshi.
Single mothers kibao wametiwa mimba wakakimbiwa wakafikisha miezi tisa bila kusumbua mtu.
Sana unasimdikizia na juice ya matunda pata ya tende au passionNi tamu?!!
Fafanua mkuu ni kama Nini hiyo shawarma!?Sana unasimdikizia na juice ya matunda pata ya tende au passion
Inafanania hivi ukitaka kuijua zaidi fika pale shwarm mwengeFafanua mkuu ni kama Nini hiyo shawarma!?
Itakuwa ni mbahiri sana wanawake wanafanyaga kusudi kwa mwanaume bahirAnakukomesha tu
Sasa si apike tu chapati achanganye na kuku!Itakuwa ni ile chapati ya kuchanganya na kuku wa kuokwa
anamaanisha SHAWARMA mkuu, ni chakula bwana kamnunulieHeti wadau, nisaidieni mana kuna kakiburi kalikojificha kwenye ujauzito
Aisee! Ahsante kwa somo,niliipeleka kwenye chapati!Inafanania hivi ukitaka kuijua zaidi fika pale shwarm mwenge
haha amakofi wiki mbane amohe keno aghutunaMpe andazi akikataa mtie kofi, mimba zingine zinamiss sana makofi mura
Tena lile la Bhakresa gumugumu, kama hataki akadeke kwaoMpe andazi akikataa mtie kofi, mimba zingine zinamiss sana makofi mura
Kujiendekeza tuu na kukukomoa.... Hakuna lolote🤣🤣🤣Heti wadau, nisaidieni mana kuna kakiburi kalikojificha kwenye ujauzito
🤣🤣 Ubaya UbwelaaaaTena lile la Bhakresa gumugumu, kama hataki akadeke kwao
Una akili hasa....... Itakuwa shawarma maake hata eti kaandika hetiShaulama au shawarma?