Mama kijacho amesema anataka shaulama, nimesema sijui kakasirika

Mama kijacho amesema anataka shaulama, nimesema sijui kakasirika

Hivi shawarma ni chips za makange au ndio vitu gani?
 
Bora yako Mi aliniambia nikang'oe mti mzima wa malimao nimletee na mizizi yake aje ayachume mwenyewe
 
Baba kija utapata mapacha si umeona umeshindwa sema SHAWARMAA
 
Siyo Heti ni Eti😊...!!shaulama ndiyo nini tena jamani😂😂 mi mshamba
Nia yake aseme SHAWARMA, ila kakosea hahaha, sijui yupo wapi ? Kama ni namtumbo kule shawarma hakuna labda ajipikie mwenyewe, kazi anayo.
 
Back
Top Bottom