Shukran nimeelewa, nadhan nimpige marufuku, hakuna madhara yoyoteSio shawarma?
Wanakuwaga na kusudi hao anajua kakuweza. Mimi hunipelekeshi.
Single mothers kibao wametiwa mimba wakakimbiwa wakafikisha miezi tisa bila kusumbua mtu.
We unaishi wapi nikupe location nyingine ya karibuKwakweli tunakoishi na Mwenge ni mbali sana. Huku ni kukomoana
WapolipoliHivi shawarma ni chips za makange au ndio vitu gani?
Na wewe cube ndio nini? 😹Tulio soma cube tume muelewa baba kijacho kashindwa tamka neno
Typng error embu tekebishaNa wewe cube ndio nini? 😹
Kwani amekuambia anaishi hapo Daslamu?Iyo ni shawarma mbona zinauzwa pale shwarama mwenge pale
Baki kwenye uhalisia wenu wa kila siku usikubali akubadilishe anatafuta vya kusimulia shoga zakeShu
Shukran nimeelewa, nadhan nimpige marufuku, hakuna madhara yoyote
Heti wadau, nisaidieni mana kuna kakiburi kalikojificha kwenye ujauzito
"Shawarma" sijui ndio inaandikwa hiviHeti wadau, nisaidieni mana kuna kakiburi kalikojificha kwenye ujauzito
Nia yake aseme SHAWARMA, ila kakosea hahaha, sijui yupo wapi ? Kama ni namtumbo kule shawarma hakuna labda ajipikie mwenyewe, kazi anayo.Siyo Heti ni Eti😊...!!shaulama ndiyo nini tena jamani😂😂 mi mshamba
Chapati limeviringishwa nyama nyama kwa ndani na mazaga kibao ni ujinga ujinga tu mkuu, vyakula vya wapemba na waarabu waarabuHivi shawarma ni chips za makange au ndio vitu gani?