Yaani huyu mama kama angelijua huyo binti anaumiza mioyo ya wanawake wangapi hapa Tanzania angetubu na kumlilia Mungu, Pia akumbuke Mungu ni wa wote hivyo anapoona mtoto wake anaongelewa saana na watu anatakiwa achekeche kwanza asianze kulalamikikia watu na mitandao ya kijamii.
Angalie binti yake ameangukia wapi na amsaidie kwa upendo na ushauri, mtoto hajatimiza hata miaka 25 ana maisha ya mtu wa miaka 35, ajifikirie kwanza.
Halafu atakaje na kusubiri kulishwa na mtoto wake wa miaka 20 na halia anajua uwezo wake, mama anaonekana ni wamama wale wanaokaa kutegemea mabwana za watoto wake. Huyo Lulu angekua kaolewa mama asingekaa home kusubiri mkate kutoka kwa mkwewe, MAMA FANYA KAZI ACHA KUMTEGEMEA MTOTO AKUPE KILA KITU.
Huyo Lulu akifikisha miaka 30 wafanye sherehe ya kifamilia maana maisha yake ni sawa na mtu wa miaka 40 na yeye ana 20, akifika miaka 40 atakua na maisha ya mtu waa miaka 60. Amrudie Mungu.
Nirudieni mimi enyi wanadamu, dhambi zenu hata zikiwa nyekundu kama bendera nitazisafisha na mtakua weupe kama theruji na wala sitazikumbuka tena hizo dhambi zenu. LULU NA MAMA YAKE NAFASI IKO WAZI
Kunakipindi nilipata matatizo mfurulizo,yani sikuona wakumkimbilia mwingine zaidi ya Mungu.Nilimuomba anipe faraja tuu.asikwambie mtu hela si chochote mbele za Mungu na hela kamwe haiwezi kukupa faraja.
Mungu ndiye faraja kuu na hakuna zaidi yake.
Kunakipindi nilipata matatizo mfurulizo,yani sikuona wakumkimbilia mwingine zaidi ya Mungu.Nilimuomba anipe faraja tuu.asikwambie mtu hela si chochote mbele za Mungu na hela kamwe haiwezi kukupa faraja.
Mungu ndiye faraja kuu na hakuna zaidi yake.
Na form four alifel nashangaa huko magogoni aliendaje lazima tu Afeli.
Nasikia alishafeli /disco akafanya magumashi akaendelea.
Kunakipindi nilipata matatizo mfurulizo,yani sikuona wakumkimbilia mwingine zaidi ya Mungu.Nilimuomba anipe faraja tuu.asikwambie mtu hela si chochote mbele za Mungu na hela kamwe haiwezi kukupa faraja.
Mungu ndiye faraja kuu na hakuna zaidi yake.
Perfect Vion ya Sinza, QT 1yr, 3&4 Mwaka mmoja tayari kaua school, mtoto ana akili sana ana uwezo balaaHivi form four alisomea wapii au alienda ya miaka miwiliii???
lulu kisharudi ig chezea addiction et kajitoa ha ha haHivi form four alisomea wapii au alienda ya miaka miwiliii???
lizymichael karudi ukamfollow...Nasikia alishafeli /disco akafanya magumashi akaendelea.
lizymichael karudi ukamfollow...
Hivi form four alisomea wapii au alienda ya miaka miwiliii???
lulu kisharudi ig chezea addiction et kajitoa ha ha ha
et kajitoa kwenye mitandao ya kijamii ajikute tuMi nilijua tu lazima arudii
ha ha ha leo kaanza na neno laini sijui ni yeye kweliSasa itakua mipasho kwa kwenda mbele.Atachambana na fans zake mpaka waombe poo.
ha ha ha leo kaanza na neno laini sijui ni yeye kweli
et kajitoa kwenye mitandao ya kijamii ajikute tu
Nataka nikamchokozee sijui ataniblock hhhhhhaaa