Mama Mabula kaa chonjo hapo Ardhi, kuna genge la wafanyakazi wezi na waporaji viwanja!

Mama Mabula kaa chonjo hapo Ardhi, kuna genge la wafanyakazi wezi na waporaji viwanja!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Nataka kumtahadharisha mama yangu Mpendwa Mama Dk Angelina Mabula.
Amekaa hapo Wizara ya Ardhi kwa muda mrefu sasa lakini hajui kuwa kuna kakundi au genge la wezi na waporaji wa viwanja.

Suala linaanzia hapo kwa Msajili wa Hati. Mafaili ya viwanja yanapotezwa na kuna nyakati mafaili yanakuwa hayana nyaraka kabisa zilizotayarishwa ili kupatiwa Hati.
Wahusika wanajulikana lakini inaelekea kuna kamtandao ambako kameshindikana kuvunjwa maana kuna wakubwa wanfaidika.

Mchezo umehamia kwa sasa sehemu ambazo demand ya viwanja imekuwa kubwa, yaani Tegeta, Bagamoyo, Kibaha.
Mchezo unakuwa hivi;
-Faili hupotezwa
-hata likipatikana linakuwa halina nyaraka zozote ndani yake
-anapatikana mteja anauziwa haraka haraka kwa pesa ya juu sana na anapatiwa Hati fasta fasta
-mmiliki wa awali akiendelea kulalamika , anaambiwa asiwe na wasiwasi atapatiwa kiwanja kingine

Mchezo huu unafanyika bila haya wala soni, na bado mawaziri wetu wapo.

Hapo kwa Msajili wa Hati kuna matatizo makubwa sna.
 
Waziri Jana ulienda Matuli Yale ulio onapale madogo
Ndachi Jiji la Dodoma wakishirikiana na Diwani wanataka kuporaardhi Kwa mkataba feki
Mkataba una Mvamizi anatajwa
Hivi kwei tuna maafisa we
 
Nataka kumtahadharisha mama yangu Mpendwa Mama Dk Angelina Mabula.
Amekaa hapo Wizara ya Ardhi kwa muda mrefu sasa lakini hajui kuwa kuna kakundi au genge la wezi na waporaji wa viwanja.

Suala linaanzia hapo kwa Msajili wa Hati.
Mafaili ya viwanja yanapotezwa na kuna nyakati mafaili yanakuwa hayana nyaraka kabisa zilizotayarishwa ili kupatiwa Hati.
Wahusika wanajulikana lakini inaelekea kuna kamtandao ambako kameshindikana kuvunjwa maana kuna wakubwa wanfaidika.

Mchezo umehamia kwa sasa sehemu ambazo demand ya viwanja imekuwa kubwa, yaani Tegeta, Bagamoyo, Kibaha.
Mchezo unakuwa hivi;
-Faili hupotezwa
-hata likipatikana linakuwa halina nyaraka zozote ndani yake
-anapatikana mteja anauziwa haraka haraka kwa pesa ya juu sana na anapatiwa Hati fasta fasta
-mmiliki wa awali akiendelea kulalamika , anaambiwa asiwe na wasiwasi atapatiwa kiwanja kingine

Mchezo huu unafanyika bila haya wala soni, na bado mawaziri wetu wapo.

Hapo kwa Msajili wa Hati kuna matatizo makubwa sna.
SIO HAPO TU HATA MANISPAA YA SUMBAWANGA WAMELIKI HALAKI WENYE HATI WANANYANG'ANYWA VIWANJA NA KUUZIWA MATAPELI
 
Sijawahi ona wizara yenye watendaji wa hovyo kama hii, wanabadilisha lakini wapi kuna mtu Jina lake linaanzia na J, ni master wa kutupa, kibaya wananyofoa docs, faili linabaki jeupe, wanafanya watakavyo, inachosha kweli, ukweli inaonekana uongo na uongo unahalalishwa kuwa ukweli, hovyo hovyo! /
Dr Mabula nakuomba iruhusu nambari yako ya WhatsApp, tukujazie tabu na matatizo yetu, pole sana najua unajitahidi kweli lakini hali ndiyo hiyo unaangushwa na watendaji, mmebadilisha kamishna lakini hatuoni kitu mafaili kwake yamejaa hayafanyii intelegesia za kina, kubaini facts, na kutolea maamuzi, turudishieni Hyera.
 
Sijawahi ona wizara yenye watendaji wa hovyo kama hii, wanabadilisha lakini wapi kuna mtu Jina lake linaanzia na J, ni master wa kutupa, kibaya wananyofoa docs, faili linabaki jeupe, wanafanya watakavyo, inachosha kweli, ukweli inaonekana uongo na uongo unahalalishwa kuwa ukweli, hovyo hovyo! /
Dr Mabula nakuomba iruhusu nambari yako ya WhatsApp, tukujazie tabu na matatizo yetu, pole sana najua unajitahidi kweli lakini hali ndiyo hiyo unaangushwa na watendaji, mmebadilisha kamishna lakini hatuoni kitu mafaili kwake yamejaa hayafanyii intelegesia za kina, kubaini facts, na kutolea maamuzi, turudishieni Hyera.
Safi sana , kuna uozo mwingi hapo Ardhi.
Nyaraka zina nyofolew kutoka kwenye mafaili kwa nia ya kuuza viwanja kwa wenye meno.

Mama Mabula tunakuomba namba yako ili tukutumie details za viwanja vilivyonyofolewa nyaraka na wahusika.
 
Nataka kumtahadharisha mama yangu Mpendwa Mama Dk Angelina Mabula.
Amekaa hapo Wizara ya Ardhi kwa muda mrefu sasa lakini hajui kuwa kuna kakundi au genge la wezi na waporaji wa viwanja.

Suala linaanzia hapo kwa Msajili wa Hati.
Mafaili ya viwanja yanapotezwa na kuna nyakati mafaili yanakuwa hayana nyaraka kabisa zilizotayarishwa ili kupatiwa Hati.
Wahusika wanajulikana lakini inaelekea kuna kamtandao ambako kameshindikana kuvunjwa maana kuna wakubwa wanfaidika.

Mchezo umehamia kwa sasa sehemu ambazo demand ya viwanja imekuwa kubwa, yaani Tegeta, Bagamoyo, Kibaha.
Mchezo unakuwa hivi;
-Faili hupotezwa
-hata likipatikana linakuwa halina nyaraka zozote ndani yake
-anapatikana mteja anauziwa haraka haraka kwa pesa ya juu sana na anapatiwa Hati fasta fasta
-mmiliki wa awali akiendelea kulalamika , anaambiwa asiwe na wasiwasi atapatiwa kiwanja kingine

Mchezo huu unafanyika bila haya wala soni, na bado mawaziri wetu wapo.

Hapo kwa Msajili wa Hati kuna matatizo makubwa sna.

Ulichokiongea hata Mimi Nahisi Hivyo!
Na Hii Inatokana na Kucheleweshwa kwa Makusudi Hati miliki ya Ardhi.
kuna Siku Nilikuwa nafuatilia hati yangu ya Ardhi Kibaha,

Wakaniambia File Limeenda Wizarani kwa ajili ya HATI huko Kutoka kuja Kupata Hati yako ni Mpaka Miezi 3 Hadi 12.[emoji30][emoji30]
Matayizo Yote ni Kutokana nadhani wanafanya Kazi Nje ya Mfumo!

Ukifanya Kazi Nje ya Mfumo unaweza Kaa na Faili la Mtu ukatafuta Mteja ukauza Fasta ukaja mteja Kumpa Kingine!
na Usikundulike!

Why sababu No body can Trace the system
Faili limepelekwa ofisi husika inatakiwa Kila hatua Linapoenda Liende ktk Mfumo sio tuu Kuwa Reigister bali na Nani Yuko Nalo amekaa nalo kwa muda gani na Kwanini!
Yaani Kuwa Na Mtu say Operation Manager anaefuatilia Utendaji wa Kila siku wa Maafisa Ardhi kwenye Mfumo!

Faili Limefika lini na Lini Linatakiwa Litoke!
Yakiwepo haya na Mengine yatasaidia kudhibiti Hayo!
 
Nataka kumtahadharisha mama yangu Mpendwa Mama Dk Angelina Mabula.
Amekaa hapo Wizara ya Ardhi kwa muda mrefu sasa lakini hajui kuwa kuna kakundi au genge la wezi na waporaji wa viwanja.

Suala linaanzia hapo kwa Msajili wa Hati.
Mafaili ya viwanja yanapotezwa na kuna nyakati mafaili yanakuwa hayana nyaraka kabisa zilizotayarishwa ili kupatiwa Hati.
Wahusika wanajulikana lakini inaelekea kuna kamtandao ambako kameshindikana kuvunjwa maana kuna wakubwa wanfaidika.

Mchezo umehamia kwa sasa sehemu ambazo demand ya viwanja imekuwa kubwa, yaani Tegeta, Bagamoyo, Kibaha.
Mchezo unakuwa hivi;
-Faili hupotezwa
-hata likipatikana linakuwa halina nyaraka zozote ndani yake
-anapatikana mteja anauziwa haraka haraka kwa pesa ya juu sana na anapatiwa Hati fasta fasta
-mmiliki wa awali akiendelea kulalamika , anaambiwa asiwe na wasiwasi atapatiwa kiwanja kingine

Mchezo huu unafanyika bila haya wala soni, na bado mawaziri wetu wapo.

Hapo kwa Msajili wa Hati kuna matatizo makubwa sna.
Hapo Floor no 4 Ardhi Idara ya Hati kuna vijeba, havisikii, havishituki.
Lazima kuna watu wanawapa kiburi.
 
Ulichokiongea hata Mimi Nahisi Hivyo!
Na Hii Inatokana na Kucheleweshwa kwa Makusudi Hati miliki ya Ardhi.
kuna Siku Nilikuwa nafuatilia hati yangu ya Ardhi Kibaha,

Wakaniambia File Limeenda Wizarani kwa ajili ya HATI huko Kutoka kuja Kupata Hati yako ni Mpaka Miezi 3 Hadi 12.[emoji30][emoji30]
Matayizo Yote ni Kutokana nadhani wanafanya Kazi Nje ya Mfumo!

Ukifanya Kazi Nje ya Mfumo unaweza Kaa na Faili la Mtu ukatafuta Mteja ukauza Fasta ukaja mteja Kumpa Kingine!
na Usikundulike!

Why sababu No body can Trace the system
Faili limepelekwa ofisi husika inatakiwa Kila hatua Linapoenda Liende ktk Mfumo sio tuu Kuwa Reigister bali na Nani Yuko Nalo amekaa nalo kwa muda gani na Kwanini!
Yaani Kuwa Na Mtu say Operation Manager anaefuatilia Utendaji wa Kila siku wa Maafisa Ardhi kwenye Mfumo!

Faili Limefika lini na Lini Linatakiwa Litoke!
Yakiwepo haya na Mengine yatasaidia kudhibiti Hayo!
Mkuu sasahivi wanachofanya ni kunyofoa mazima mazima nyaraka zote ndani ya faili.
Mama Mabula alijue hilo, hizi ni kesi za uhujumu uchumi.
 
Nafikiri hii wizara, ina ka laana flani hivi.
Ina tia kichefu chefu sana.Mama aikalie kooni haswa.
Sio laana ni sehemu ambayo ina pesa za fasta fasta kama wanavyosemaga wa mjini !
 
Hapo Floor no 4 Ardhi Idara ya Hati kuna vijeba, havisikii, havishituki.
Lazima kuna watu wanawapa kiburi.
Shida iliyopo hata akija hapo kiongozi mpya sijui wanamroga kwanza, aidha upo mfumo wa rushwa ikitolewa kunakuwa na fungu la kupanda juu,
 
Back
Top Bottom