Mama Mabula kaa chonjo hapo Ardhi, kuna genge la wafanyakazi wezi na waporaji viwanja!

Nafikiri hii wizara, ina ka laana flani hivi.
Ina tia kichefu chefu sana.Mama aikalie kooni haswa.
Ni zaidi ya laana
Miaka ya Mzee Mwinyi nasikia washamtapeli kiwanja chake wakijua kabisa ni cha Mh.Rais
Alifukuza hadi Waziri wa Ardhi

Sijui wanajikuta akina nani
Tumuogope Mungu jmn
 
Mlipofurahia Lukuvi kuondolewa eti kisa tu ni Pro-Magufuli,na akapelekwa Riziwani Kikwete,akaanza na Nyumba ya Nakonda Oysterbay!

Sasa hiyo wizara imo mikononi mwa GSM....

Mama anaupiga Mwingi kazi iemdelee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…