Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mmevurugwa nyinyi mnafuatana na wasanii na wafuga free masonsHaaaa haaaahaaa. Kwani huyo mama kaongea kipi cha ajabuuu???
Chadema, mumevurugwa kweliii,
C
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmevurugwa nyinyi mnafuatana na wasanii na wafuga free masonsHaaaa haaaahaaa. Kwani huyo mama kaongea kipi cha ajabuuu???
Chadema, mumevurugwa kweliii,
C
Mbona wema alipotishia kuja kwenuu mlikesha kumngojea na kumpa jina kamanda fasta fasta??
Mama yetu wa taifa mama Maria Nyerere awakana walio taka kumlisha maneno.
Kweli uzee siku zote ni dawa nimeamini.
Sikilizeni wandugu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yetu wa taifa mama Maria Nyerere awakana walio taka kumlisha maneno.
Kweli uzee siku zote ni dawa nimeamini.
Sikilizeni wandugu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nia yako ni matusi basi nakushauri wacha kuni quate, hapa ni jukwaa la siasaMbona wema alipotishia kuja kwenuu mlikesha kumngojea na kumpa jina kamanda fasta fasta??
Acheniiii kiki zenuuu.
Mbona hata chadema wasaniii wapooo??
Au wasaniiii wenuuu ni mapopomaaa??
Mimi ni mwana cdm, habari za ACT muulize mcubicTupe maendeleo ya shushushu aliyebobea na ACT yenu?
Na sisi tunawaambia subirini 28.10.2020 tuwaonyeshe kazi ndio mrudi mwenu burundiMbona mnahangaika sana na ccm? Hizi nguvu mnazotumia mngezielekeza kwenye kampeni zenu! Ccm chama kubwa na tunaijua wenyewe, hata yule tulie mtuma act kwenye ufunguzi kasema ccm oyee! Kwenye box la kura ccm ni kitu kimoja! Sasa subilini tar 28 tuwaonyeshe!!!
Wishful thinking. Fisi anafuatilia mwanadamu akisubiri mikono ianguke ale. Utasubiri kweli kweli..........Yule mama kafikisha ujumbe,.
muacheni mama
mwacheni mama apumzike bwana we..chaaa!!! kura ni nini jaman nyie ma ccm mbona mnakuwa kama mmelaaniwa nyie? hivi huyu mama ni wa kumsiliba milipustiki kuja kumtembeza majukwaan kwel na umri huu kweli na kumlazimisha atamke mambo hata hayajui? mna laana nyie.
Wishful thinking. Fisi anafuatilia mwanadamu akisubiri mikono ianguke ale. Utasubiri kweli kweli..........
Thus wamemlazimisha nae kalazimika ili asife njaa,Kawachoka kumtumia huku watoto ,wajukuu wake wakiishia kuwa walevi kwa sababu ya stress za kutengwa na serikali ya ccm
Fisi na mkono vimeingiaje hapa. Haya ni maneno ya Mama wa Taifa huko Musoma. Mubashara kupitia TBC yenu.
Jamaa anawezagoma saini check sijui wataishije na awakuiba mali kama wenzaoMama hataki unafiki. Nyeupe ni nyeupe sio nyekundu iliyochanganywa na nyeupe.
Amemtema Jpm bila chenga.
kiitikio: Tumeibiwa kura
Ni clip sio yeye waacheni wazee wapumzike,Acha kumlisha maneno mama wa watu kwa kisebengo chako