Uchaguzi 2020 Mama Maria Nyerere: Nimelazimishwa kuja kuongea, niliwaambia nimekuja kuongeza wingi wa watu, Mkutano wa CCM Musoma

Haya ndio matatizo ya hii mitandao vitoto vidogo navyo vina access ya Internet,

Watu wazima hata hatujapata tabu kumuelewa Mama Maria.

She is such a very humble person na sio mwanasiasa kama alivyokuwa mumewe ambaye ni baba wa Taifa.

Lugha za mtiririko wa kisiasa Hana mama yetu , tunampenda na tunashukuru kwa support yake.
 
Ohooooo!!
 
Nilikua siamini Kumbe kasema kweli......
Hii familia umetemgwa sn na ccm sijui ndio zile hotuba za maendeleo ya watu na zile udikteta au zile za ccm sio mama wala baba yangu alizotoaga Mwl ndo zulinawasumbua sana ccm??
 
Kwakweli familia ya mama imeonewa sana
 
Kasema alilazimishwa huelewi nini hapo au unajifanya hamnazo.
 
Mbona hajaongea hayo mnayowaaminisha watu kwamba kasema....
Mueshimuni mama jamani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…