Uchaguzi 2020 Mama Maria Nyerere: Nimelazimishwa kuja kuongea, niliwaambia nimekuja kuongeza wingi wa watu, Mkutano wa CCM Musoma

Mama anajua maendeleo ya vitu yaliyopo kule Chato kwa Mheshimiwa na kulinganisha na yale ya pale kwao Butiama kwa Muasisi wa Taifa hili. Pengine litazinduliwa eneo jipya la hifadhi ili wale tausi wapate kuwekwa kama kivutio kipya cha utalii kule Butiama mfano wa Burigi.
 
Mbona makongoro kawachana sana chadema. Au amjamsikia? Na mama akasema yeye ana mengi makongoro amemaliza kila kitu. CHADEMA acheni Kumchonganisha mama wa watu na serikali. Pambaneni na hali zenu maana mna hali mbaya sana. Sema yule makongoro itakua anatumia kijiti.
 
Sawa..... Lkn si ameshaongeza idadi km mlivotaka ww kinachokuuma nini sasa.....
 
kawachoka kumtumia huku watoto ,wajukuu wake wakiishia kuwa walevi kwa sababu ya stress za kutengwa na serikali ya ccm

Mama kiwanja chake kule Rungwe Mbezi beach "A" kimegeuzwa kuwa uwanja wa fisi; wadangaji na majambazi wanapangishwa vibanda vya mabati!! Aibu sana kwa familia ya Mwalimu!!
 
Sawa..... Lkn si ameshaongeza idadi km mlivotaka ww kinachokuuma nini sasa.....
kinachoniuma ni CHADEMA kukosa mbunge hata mmoja bungeni awamu hii .. Sijui wabunge wa CCM watamzomea nani. Inauma sana.
 
Bibi yetu miaka zaidi ya 90 wanamsumbua wa nini na yeye kashanusa kufa kwa CCM
 
Mama wa watu atakuwa ameambiwa kuwa Kigogo 2014 anamfumua vibaya Mama Samia huko Twitter ivyo akaona asiongee maneno mengi asije kuharibu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah jananiiih JF idumu milele lol.
 
kinachoniuma ni CHADEMA kukosa mbunge hata mmoja bungeni awamu hii .. Sijui wabunge wa CCM watamzomea nani. Inauma sana.
Ccm ni chama cha kishetani.... Hakuna mtz atakipigia kura safari hiii....
Ndio maana mwenyekiti wako anaweweseka tu
 
Yaaan huwa naumia mnooh, kweli watoto wa baba wa taifa wanakuwa hoe hae, huku wengine wakila cake za nchi. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Utu uzima Dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…