Uchaguzi 2020 Mama Maria Nyerere: Nimelazimishwa kuja kuongea, niliwaambia nimekuja kuongeza wingi wa watu, Mkutano wa CCM Musoma

Kigogo anasemaje huko twitter, wengine hatujui jinsi ya kutumia huo mtandao
Ingia Google andika Kigogo 2014 itakuletea options then ingia tu. Huitaji kuwa na account ya twitter ili ku access! Utaona nondo za huyu mwamba!!
 

ACHA UCHIZI WEWE KUANDIKA MANENO KIVINGINE NA SUSABABISHA CHUKI KWA WATU UMEANDIKA TOFAUTI NA ALIVYOONGEA YEYE WEWE NI CHIZI NA NI MPUUZI WA VIWANGO
 
Kwa hiyo tufanyeje sasa? Mbona kama mnakosaga la maana kusema.!!
 
Bora hata mzee wa msoga aliwafanyia fair.
 
Ila watu wa Musoma kavu sana! Yaani hawakua serious kabisa na mkutano! Dizain kama walikua wanasanifu hivi ila waliku na majibu yao vichwani🤔
 
unabeza mabasi kubeba watu hivi unajua mijini kampeni zinapopita kuna less than 30% ya watz....

unajua kama maeneo mengi ni ngumu kufika mikutanoni kwa shida ya usafiri na umbali toka mijini kwenye kampeni?

Malori na mabasi yanafanya 70% ya watz kufika kuona kampeni za CCM wakati msiotumia mabasi mnawafikia less than 30% ya watz (walioko mijini tu)...

Sintashangaa mkijalia tumeibiwa kura[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…