John Fedha
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 624
- 717
Daah..wacha wasombwe na malori.
Waje kuongeza idadi ya watu.
Lakini Oktoba 28 piga chini wote.
Waje kuongeza idadi ya watu.
Lakini Oktoba 28 piga chini wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiangalia avatar yako nakuona ni mrembo tu,unafaa kutafunwa bila mate wala mafuta.Pumbavu zako, kwann usifatilie ????
Unataka uletewe kila kitu???
Haipo katika maana hiyo mnayotaka ionekane kuwa ipo.Kasema alilazimishwa huelewi nini hapo au unajifanya hamnazo.
endeleeni kuotaCcm ni chama cha kishetani.... Hakuna mtz atakipigia kura safari hiii....
Ndio maana mwenyekiti wako anaweweseka tu
Naona imekuuma sana mama Maria kuwapa makavu laivu imebidi kwahasira uitukane chadema [emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]Na huu #UPOTOSHAJI WENU NDIO UNASABABISHA MPUUZWE CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO
Tafuta clip youtube sikiliza sio kusapoti tuu na inawezakuwa hujasikiliza... Muheshimuni mama jamaniNaona imekuuma sana mama Maria kuwapa makavu laivu imebidi kwahasira uitukane chadema [emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
"Karibu mkoa wa Mara"View attachment 1559508
"Mimi kwa bahati nzuri pamoja na Wanamara wenzangu sisi ni kundi lile tulilokuja tuongeze idadi ya watu, vichwa viongozeke kwahiyo sikuja kuzungumza chochote wao walinilazimisha kwamba nizungumze nikasema sina lakuzungumza"- Mama Maria Nyerere
Baada ya ujumbe huu mgumu unaonyesha namna watu wanavyolazimishwa kufanya wasichopenda kufanya, naamini viongozi wamekereka kwa sababu polepole katamka maneno haya:
Mama tunajua una majukumu mengi, endapo ukijisikia kuondoka ondoka upo huru Mwenyekiti amekupa baraka zote.
Huyu mama nadhani ni mara ya kwanza anasimamishwa Kwenye jukwaa la kampeni. Tusiwafanyie hivi watu Hawa waliotumika kwa heshima, waacheni wabaki na heshima yao.
View attachment 1559499View attachment 1559500View attachment 1559501View attachment 1559502
Wanachungulia kwambaaliiFisiemu siwaoni humu
Mueleze alichomaanisha mama.Haipo katika maana hiyo mnayotaka ionekane kuwa ipo.
Ingekuwa kampeni za Chadema hapo angekuwa kweli kalazimishwa.
Nashangazwa sana namna msivyoelewa kauli za watu wazima kama hao mara nyingi zinakuwa namna ile.
Itakuwa huko kwenu hamna watu wazima ndio maana mnapata tabu kuwaelewa.
Mwacheni Bibi yetu msimuingize kwenye Mambo yenu.
Kwahiyo nikweli mlikuwa mnamlazimisha aongee?Haya ndio matatizo ya hii mitandao vitoto vidogo navyo vina access ya Internet,
Watu wazima hata hatujapata tabu kumuelewa Mama Maria.
She is such a very humble person na sio mwanasiasa kama alivyokuwa mumewe ambaye ni baba wa Taifa.
Lugha za mtiririko wa kisiasa Hana mama yetu , tunampenda na tunashukuru kwa support yake.
Kwahiyo chadema ndio tuliokuwa tunamlazimisha huyo bibi aongee kwenyehuo mkutano wenu?Mbona makongoro kawachana sana chadema. Au amjamsikia? Na mama akasema yeye ana mengi makongoro amemaliza kila kitu. CHADEMA acheni Kumchonganisha mama wa watu na serikali. Pambaneni na hali zenu maana mna hali mbaya sana. Sema yule makongoro itakua anatumia kijiti.
ungekua unawajua vizuri usinge waita hoe hae kwa taarifa yako sio wenzio wale. Na kama serikali ingekua haiwatendei vema makongoro nyerere asingeongea maneno yale leo pale musoma. Mnapumulia mashine mmekosa kabisa point.Yaaan huwa naumia mnooh, kweli watoto wa baba wa taifa wanakuwa hoe hae, huku wengine wakila cake za nchi. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Tulieni dawa iingie [emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]Tafuta clip youtube sikiliza sio kusapoti tuu na inawezakuwa hujasikiliza... Muheshimuni mama jamani