PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Hahahausimuite zeru zeru muite mzungu 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahausimuite zeru zeru muite mzungu 😂
AseeeKwa wasiomfahamu huyu ndiye mama mchungaji mke wa mchungaji Mc pilipili. Mtumishi amefunguka na kusema jambo kuhusu bifu lake na baba mchungaji.
Amesema......
"Kupishana katika ndoa ni kitu cha kawaida sana, sema kuna wale ma stars wakipishana kila mtu atajua lakini kwetu watu wa rohoni huwa tunayamaliza kimya.... kimya hata mshenga hahusishwi".
Bifu lao wameshalimaliza na maisha yanasonga.
Kuhusu kanisa kumshinda baba mchungaji, mama amekazia....
"Kile alichosema baba mchungaji ndicho hicho hicho nasema na mie kwamba hatukutaniki tena kila jumapili bali huduma yetu kwa sasa ni kuhudumia watu wa mtandaoni pekee.
Mama mchungaji katika ubora wake.
View attachment 2883277View attachment 2883279View attachment 2883282
HahahaSi tumeambiwa mke ana mchepuko wake mwenye maela na mume amezaa na mwanamke mwingine nje?
Au tusubiri uhakika kutoka kwa dada wa taifa?
We niki sema ni nusu albino, ujue sikosei. Kazi mbovu hiyo we Ina kuvuruga😂😂Hizo lips za mama mchungaji 😋
We hujui mali safi tuliaWe niki sema ni nusu albino, ujue sikosei. Kazi mbovu hiyo we Ina kuvuruga😂😂
aisee 😆😆We hujui mali safi tulia
Hizo lips zikitua juu ya kichwa cha chini ni hatariaisee 😆😆
Haya bebe wako, mwenye big and smooth lips ana kuita 😆😆Hizo lips zikitua juu ya kichwa cha chini ni hatari
Fala sana. 😂😂Haya bebe wako, mwenye big and smooth lips ana kuita 😆😆
View attachment 3197437
mkuu si Ume sema lips kubwa no favorite yako 😆😂.Fala sana. 😂😂
Namchukulia wapi?
Ana kaa kenya.Namchukulia wapi?
Siku hiz kuwa, mchungaji, ni sawa na kuwa, konda wa daladala, unaamua tu, sasa huyu si shankupe, danga tu, hakuna wife material hapa,Kwa wasiomfahamu huyu ndiye mama mchungaji mke wa mchungaji Mc pilipili. Mtumishi amefunguka na kusema jambo kuhusu bifu lake na baba mchungaji.
Amesema......
"Kupishana katika ndoa ni kitu cha kawaida sana, sema kuna wale ma stars wakipishana kila mtu atajua lakini kwetu watu wa rohoni huwa tunayamaliza kimya.... kimya hata mshenga hahusishwi".
Bifu lao wameshalimaliza na maisha yanasonga.
Kuhusu kanisa kumshinda baba mchungaji, mama amekazia....
"Kile alichosema baba mchungaji ndicho hicho hicho nasema na mie kwamba hatukutaniki tena kila jumapili bali huduma yetu kwa sasa ni kuhudumia watu wa mtandaoni pekee.
Mama mchungaji katika ubora wake.
View attachment 2883277View attachment 2883279View attachment 2883282
Kenye huko hapanaAna kaa kenya.
ni pisi, tembelea Mombasa au somalia mi ni 🔥🔥.Kenye huko hapana
Yani nitembelee huko kisa pisi? Si ulofa huoni pisi, tembelea Mombasa au somalia mi ni 🔥🔥.
sema Tanga, singida au tabora wapo pia, tena tabora pako vizuri mno.
Huna majukumu ya kufanya huko??, huna muda wa likizo au mapumziko .Yani nitembelee huko kisa pisi? Si ulofa huo
Mapumziko? Mapumziko ni kaburini sheikhHuna majukumu ya kufanya huko??, huna muda wa likizo au mapumziko .
Hupendi kudhuru maeneo ili kuji funza au kutalii??