KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Akiwa anakunyonya?Hizo lips za mama mchungaji 😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwa anakunyonya?Hizo lips za mama mchungaji 😋
Niliona instagram kule kwa chimbo la east kule kwa wabungeThubutuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23]
Nani huyo anawachota wana? Majihili alitemana lin na video vixen? Woiiiih
Wenzake wanafungua kanisa leo mwaka mmoja tu wana waumini na pesa nyingiLinawashindaje kanisa si aende Nigeria akaongeze upako,au amchek nabii mkuu ambariki
Akihubiri Injili ya kweli lazima afunge kanisaWenzake wanafungua kanisa leo mwaka mmoja tu wana waumini na pesa nyingi
Hiyo avatar hiyo hiyo umenikumbusha wizzy alivyokuwaga anakunyanyasa🤣🤣🤣Bora unyamaze kuliko kuendelea kuchochea moto
Aiseeeeee 🤔🤔🤔Sijui ni kwanini kila nikimuangaliaga huyu dada taswira ya member wa humu DEMISS inanijia akilini.
Acha tu ilikuwa ni kitimtim, kila uzi atakaochangia cute ni “kiunganish” cha comment yake 😂😂😂Hiyo avatar hiyo hiyo umenikumbusha wizzy alivyokuwaga anakunyanyasa🤣🤣🤣
Hee,ndio huyo atakuwa aliyezua balaa kipindi kileee... anyway sio mbaya tutaback na lamomy wetu...ila shoo ulikomeshwa🤣Acha tu ilikuwa ni kitimtim, kila uzi atakaochangia cute ni “kiunganish” cha comment yake 😂😂😂
Unachukiwa bila sababu mpk unajishangaa..!!
Nilitaka kurudisha mpk jina langu, sema kuna mtu kalichukua sijui baradhuli gani huyo 😏
Ahahahah.Akihubiri Injili ya kweli lazima afunge kanisa
Katika kila mwanaume aliyefilisika nyuma yake kuna mwanamke cheupeKwa wasiomfahamu huyu ndiye mama mchungaji mke wa mchungaji Mc pilipili. Mtumishi amefunguka na kusema jambo kuhusu bifu lake na baba mchungaji.
Amesema......
"Kupishana katika ndoa ni kitu cha kawaida sana, sema kuna wale ma stars wakipishana kila mtu atajua lakini kwetu watu wa rohoni huwa tunayamaliza kimya.... kimya hata mshenga hahusishwi".
Bifu lao wameshalimaliza na maisha yanasonga.
Kuhusu kanisa kumshinda baba mchungaji, mama amekazia....
"Kile alichosema baba mchungaji ndicho hicho hicho nasema na mie kwamba hatukutaniki tena kila jumapili bali huduma yetu kwa sasa ni kuhudumia watu wa mtandaoni pekee.
Mama mchungaji katika ubora wake.
View attachment 2883277View attachment 2883279View attachment 2883282
🤣🤣🤣 Nikikumbuka nabaki nacheka.!!Hee,ndio huyo atakuwa aliyezua balaa kipindi kileee... anyway sio mbaya tutaback na lamomy wetu...ila shoo ulikomeshwa🤣
Yaah ilikuwa nzuri,halafu huyo cute mwenyewe wehu..🤣🤣🤣 Nikikumbuka nabaki nacheka.!!
Ila kumbe watu walikuwa wanaipenda username yangu mpk mod walivyoifuta chap wakainyakua lol.!!
😂😂😂😂 Mbona mi mpole sema huku tunalog in tukiwa barYaah ilikuwa nzuri,halafu huyo cute mwenyewe wehu..
Hakika ni kiboko wa mema hapa duniani
[emoji28][emoji28][emoji28] opponent hoi (ukristu hoi)Ana nguvu hasa pale anapokosa upinzani.
sijafikia huko mkuuAkiwa anakunyonya?