Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MahondaW tena[emoji1787]
Ukiwa nuruni mwa bwana lazima uwe vizuri 😃Mama Mchungaji yuko vzr sana
Kiporo hakiitaji moto mwingi kaka🥲😁MahondaW tena[emoji1787]
Ma ex hawaachani.
Bora unyamaze kuliko kuendelea kuchochea motoDemu mwenyewe watu wa UDOM wamepiga ee mchungaji kaona kapata mke kuna demu amesoma na hyo mke wa MC anakwambia alikuwa balaa walikuwa na kundi lao maarufu pale chuo mwenge ilikuwa hauvuki kijiji ngoja nitulie nisije nikaharibu ndoa.
Udugu fungua hii code pls hapo kwa VOMwenye maela yupii? Sasa VO ana pesa zipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wawaache wenye hela bhana, huyo MC nae kiwembe tyuuh.
Kanisa haliendi bila sadaka, km hawakujijenga hapo mwanzo polee yao
Ila watu mnajua kuchambua wenzenu 🤣🤣 eti sura km amelamba ukwaju.!!!!🙌Kale kasura ka mc pilipili kama amelamba ukwaju na hili lishangazi mhhh, mlio karibu na mc pilipili muelezeni ukweli hayo mahusiano hayatakuja ku settle as long as wallet itapungua uzito wake.
Huyu manzi kafata pochi tu kwa kumuangalia
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mtasutwa 😂Waliosoma na mama muchungaji wanasema mama Ni Kama samaki 'hapishi chambo'
jamaa ana bahati ya kupata pisi kali, unamfahamu nicole? ambaye alikuwa demu wake kabla ya huyu, alikuwa pisi ya ukwel japo alikuwa singo mumKale kasura ka mc pilipili kama amelamba ukwaju na hili lishangazi mhhh, mlio karibu na mc pilipili muelezeni ukweli hayo mahusiano hayatakuja ku settle as long as wallet itapungua uzito wake.
Huyu manzi kafata pochi tu kwa kumuangalia
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kondoo zimegeuka chui 😃😃😃Atakua anamchekea chekea acha kondoo nao wale mchungaji wao
🤔😳😳Msanii wa injili Goodluck Gozbet pia alivuma sana, ila alipokwenda kwa nabii mkuu na kupewa zawadi ya mchuma huyu kijana karudi mtaani kuvuta bangi.
Wewe labda umeelewa vibaya suala la kupisha chambo.Mtasutwa 😂
Hananja yule alishasema aliwahi kuvuta bangi, 😃😃Mchungaji Hananja, anasema uzuri wa mwanamke ni siku 90 tu, hata awe mzuri vipi ni siku 90 tu. Baada ya hapo unamuona kama ndugu yako 😂😂😂
Hatari kubwa zaidi ni pale unapomdhihaki shetani hadharani huku ukijua fika wewe ni wake.Yaani unamdhihaki Mungu unamdhihaki na Shetani pia
Kutesa kwa zamu ni zamu ya waumini.Kondoo zimegeuka chui 😃😃😃