Huyo mchepuko sio katibu wa kanisa? Au huyu alitumia akili akaenda mbali kidogo.Si tumeambiwa mke ana mchepuko wake mwenye maela na mume amezaa na mwanamke mwingine nje?
Au tusubiri uhakika kutoka kwa dada wa taifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mchepuko sio katibu wa kanisa? Au huyu alitumia akili akaenda mbali kidogo.Si tumeambiwa mke ana mchepuko wake mwenye maela na mume amezaa na mwanamke mwingine nje?
Au tusubiri uhakika kutoka kwa dada wa taifa?
Je kanisa halina Katibu?Kuhusu kanisa kumshinda baba mchungaji, mama amekazia....
"Kile alichosema baba mchungaji ndicho hicho hicho nasema na mie kwamba hatukutaniki tena kila jumapili bali huduma yetu kwa sasa ni kuhudumia watu wa mtandaoni pekee.
Mama mchungaji katika ubora wake.
Duh. Kumbe kweli, tafuta hela haya mengine utatapata kirahisi tu.Ameliwa huyu na mwenye hill water
Katibu alishahojiwa kitambo, kumbuka baba mchungaji ndiye katibu pia wa kanisa 😂Je kanisa halina Katibu?
Kwanini naye asihojiwe?
Nakata rufaaKatibu alishahojiwa kitambo, kumbuka baba mchungaji ndiye katibu pia wa kanisa 😂
Hizo lips za mama mchungaji 😋
Nakata rufaa
Kwamba nishazini? Basi nshazini na wengimaandiko yasema, ukimtamani ushazini naye...mke wa ntu huyo!
Si tumeambiwa anachepuka na mwenye hillwater?Mwenye maela yupii? Sasa VO ana pesa zipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wawaache wenye hela bhana, huyo MC nae kiwembe tyuuh.
Kanisa haliendi bila sadaka, km hawakujijenga hapo mwanzo polee yao
Mchepuko tumesikia ni mwenye kiwanda cha hillwater,sasa sijui kweli au uongoHuyo mchepuko sio katibu wa kanisa? Au huyu alitumia akili akaenda mbali kidogo.
Waliosoma na mama muchungaji wanasema mama Ni Kama samaki 'hapishi chambo'Mchepuko tumesikia ni mwenye kiwanda cha hillwater,sasa sijui kweli au uongo
Jamaa anajitafutia balaa na mikosiMchepuko tumesikia ni mwenye kiwanda cha hillwater,sasa sijui kweli au uongo
Thubutuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23]Si tumeambiwa anachepuka na mwenye hillwater?