Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Atakua anamchekea chekea acha kondoo nao wale mchungaji waoSijui hata kama baba mchungaji anaziwezea...naona kama yuko resi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua anamchekea chekea acha kondoo nao wale mchungaji waoSijui hata kama baba mchungaji anaziwezea...naona kama yuko resi...
HDau lako tuu hapoAtakua anamchekea chekea acha kondoo nao wale mchungaji wao
Matamanio huwa yapo ila kuna vishawishi, ndio kama huyo mama mchungaji.Siyo waumini ndo tumejaa matamanio kweli?🤣🤣
Kanisa limehamia mtandaoni, kuna namna kuna mmoja yashamuelemea.HDau lako tuu hapo
Ndiye yeye huyu.Huyu ndo mama Mchungaji?
Kwa taarifa yako kila mwenye umaarufu akienda tu kwa nabii mkuu kwisha habari yake 😂😂nabii mkuu ambariki
Nini kinafuata baada ya kufumbua na kuona lips?Nilishawaza mbali kabla hata sijamaliza kusoma kichwani nilidhani kichwa kingine , nafumbua naangalia lips 😅
Mchungaji Hananja, anasema uzuri wa mwanamke ni siku 90 tu, hata awe mzuri vipi ni siku 90 tu. Baada ya hapo unamuona kama ndugu yako 😂😂😂Ukiwa na access nae mda wote ule uzur hauonekani
Karama aliiacha hemani kwa nabii mkuu msemaji wa serikali ya mbinguni 😂
😂Hapo mgogo lazima achapiwe hili lidada lizuri bwanq
Na wewe ni nabii uliyefunuliwa?Hapo mgogo lazima achapiwe hili lidada lizuri bwanq
Hapana kwa macho ya nyama tu inajidhihirishaNa wewe ni nabii uliyefunuliwa?
Ndiyo😂
Duh! Hata wewe 🤣
amekutana na wa mjini wamemtoa tongotongo, japo nasikia kazaliwa mjini ila bado alikuwa na tongotongo, hata vaa yake zamani ilikuwa na utongotongo mwingi tu.Mama mchungaji mchezo huyo ni slay queen tu alikua ajachangamka vizuri sasa ameshauona mwanga hakuna rangi pilipili ataacha kuona