Ikibididaga
Member
- Jun 14, 2022
- 70
- 50
Ha haha🤣🤣🤣🤣🤣Kuna sura hata kwa kuiona unaona shetani yulee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haha🤣🤣🤣🤣🤣Kuna sura hata kwa kuiona unaona shetani yulee
Shetani ananguvu sana lakini wanadamu hawalijui hiliKwa wasiomfahamu huyu ndiye mama mchungaji mke wa mchungaji Mc pilipili. Mtumishi amefunguka na kusema jambo kuhusu bifu lake na baba mchungaji.
Amesema......
"Kupishana katika ndoa ni kitu cha kawaida sana, sema kuna wale ma stars wakipishana kila mtu atajua lakini kwetu watu wa rohoni huwa tunayamaliza kimya.... kimya hata mshenga hahusishwi".
Bifu lao wameshalimaliza na maisha yanasonga.
Kuhusu kanisa kumshinda baba mchungaji, mama amekazia....
"Kile alichosema baba mchungaji ndicho hicho hicho nasema na mie kwamba hatukutaniki tena kila jumapili bali huduma yetu kwa sasa ni kuhudumia watu wa mtandaoni pekee.
Mama mchungaji katika ubora wake.
View attachment 2883277View attachment 2883279View attachment 2883282
Nipo kule kule babu, si umenisusa sikuhizi [emoji17]Haiwezi kuwa dhambi maana nimefanya kusikia tu watu wakisimulia kuhusu hizo lips zake sijui zimefanya nini eti [emoji12][emoji125][emoji125][emoji125]
Nimekumisi pia Mjukuu, bado upo kule kule ama Mjini?
Niwie radhi Mjukuu, tangu mvua zianze kunyesha nimekuwa busy kidogo na kilimo 🤗Nipo kule kule babu, si umenisusa sikuhizi [emoji17]
Kwan ni mbaya ?Humu jf nimeamini kuna watu ni washamba na hawana exposure kabisa yani eti huyo demu ni mzuri [emoji23][emoji23]
Naye aliishia wp au alilala mbelejamaa ana bahati ya kupata pisi kali, unamfahamu nicole? ambaye alikuwa demu wake kabla ya huyu, alikuwa pisi ya ukwel japo alikuwa singo mum
Ila sijui wagogo wanashida gani kwenye mahusiano wengi wao wanapigwa na vitu vizito utosini.Swala la mgogo mc pilipili na ben paulo lilikuwa la muda tu
Ben POA kabadili dini Kisha kawa muislamu ila majuz jmaa amekwenda kuekeze kweny ufugaji was nguruwe na mke wa proof j
Baba mchungaji anakamulia mafuta pazur
We ukienda peponi mi nakua peponi maghorofani😂😂Sio kama lile lapulapu la Zeruzeru wao
Tuwie radhi mkuuKumbe hadi nyie walokole mna celebrities wenu
Watumishi wa mungu kuanika mahusiano mtandaoni sio dhambi?
Si Mke wa Mtu huyo Kaka, au tayari walishaachana hadi umwite Binti?
Habari mwanangu Nifah najua wewe ni wa mjini sana, nikimtaka huyu binti napitia kwa nani?
Shindwaaa!Hizo lips za mama mchungaji 😋
😁 watashindwa wengineoShindwaaa!
usimuite zeru zeru muite mzungu 😂Sio kama lile lapulapu la Zeruzeru wao
HahahaHizo lips za mama mchungaji 😋
Huyu nikija mwezi kanisani imeisha