Mama mkwe ana mwezi hana dalili ya kuondoka, chumba kimoja, nimemmisi mume wangu

Kweli makabila tunatofautiana mila
Kwetu mzazi wako hathubutu kulalia kitanda ambacho mwanae analala na mumewe au mkewe

Mama mkwe kakosa ustaarabu
Mume nae hajitambui

Ila kwa vile huuo ni mzazi wavumilie tu

Mpaka siku hamu zitakapowakaba wakatafuta pa kupunguza fasta fasta

Kama wana ndugu wengine mjini basi wamwambie azungukie wengine kuwasalimia abgalau watapata wasaa wa faragha
 
Duh! huyo mama nahisi amekuja na mkakati wa kuvunja ndoa ya mwanae..........

hebu chunguzeni kwa makini mpate ajenda nyingine iliyomleta town.
 

umenena mkuu
tatizo ni hawa kina mama wa kidigitali hawawazi mbali
 
Last edited by a moderator:
Yani kwa kweli umaskin nao ni kikwazo cha kua na maisha kama hayo!sidhan kama mama mkwe angekua anajiweza angefanya hzo mambo!
 
Karibu Chem.

Unadhani kama mama amekuwa wa kidigitali... huyo mume ndo tusemeje sasa? he is really something dude!!!

Hahahaaa!! Si muda mrefu tutaona post hapa waliomuhifadhi huyo mume wakilalamika. heading huenda ikawa
''Wana MMU, Hivi mtu akiomba usingizi kwa siku tatu akakaa zaidi ya mwezi na hana dalili za kuondoka unafanyaje? Naomba mawazo wadau''
umenena mkuu
tatizo ni hawa kina mama wa kidigitali hawawazi mbali
 

hahahahaha umeona eeeeh sana atawakaribishia michepuko na hali ya hewa hii mmhhhh
 
Hahahaaaa. yaani hali ya hewa we acha tu. Inanitamanisha sana nikaoteshe matikiti/mihogo mahali.
hahahahaha umeona eeeeh sana atawakaribishia michepuko na hali ya hewa hii mmhhhh
 
Yaani mama analala kwenye kitanda chá mtoto wake wa kiume na mkamwana wake?
Hii kali Aisee
 
Dah munkari ukisikia mtumwa ktk nchi yako ndo ivi.Asa watapeleka mechi ugenini adi lini kwa vile tumeshavaa Uafrika inamlazimu jamaa atafute tunyumba twenye angalau tuvyumba tuwili.Ila jamani inaumaje unanyang`anywa uhuru bila chuki.akh karibu nisaau Munkari vp kwako ipo chansi waje wapige cha voda fasta?
 
Vumilia tu, walishasema kwenye ndoa kuna kupanda milima na kushuka, hiyo ndo milima yenyewe sio kila siku unashuka tu, as long as mmeo nae hajiongezi.
 
Kitu cha self containal!! Mjini pazuri bwana asikwambie "ntu"
 
kuwa mpolee. ameshafanya kosa lakulala kwenye kitanda cha mwnae anapo fanyia tendo la ndoa. akae tu mpaka iyoo pasaka iishe. mtapata baraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…