Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
Wana sisi wazima huku najua hakuna fujo sana.
Na kuna watu makini wa kunisaidia.
Wapenzi nnamdogo angu ana kama 26 kaolewa na mtu wa Dodoma. Naishi nae karibu kama nyumba 5 kutoka kwangu amepanga chumba1 self containal.
Sasa kama mwezi mkwewe alikuja kumsalimu.
Na alsema anakaa siku3 jamani had leo mumewake analala kwa marafiki zake juzi nasikia anaongea na ndugu zake kuwa atarudi hadi pasaka iishe jamani mwezi na siku kadhaa na analala kitandani bila aibu.
Anaogopa kumwambia mumewe atahisi anamchukia mama yake na hivyo anataka jumamosi kuondoka kwenda kwao morogoro ila mkwe haoneshi hata. Kuondoka kasema kama haukaisana utanikuta.
Hebu mshaurin mdogo angu jamani.
Pole sanaWana sisi wazima huku najua hakuna fujo sana, na kuna watu makini wa kunisaidia.
Wapenzi,
Nina mdogo wangu ana kama miaka 26, kaolewa na mtu wa Dodoma. Naishi nae karibu kama nyumba 5 kutoka kwangu amepanga chumba kimoja self container.
Sasa kama mwezi mkwewe alikuja kumsalimu.
Na alisema anakaa siku 3. Jamani, hadi leo mume wake analala kwa marafiki zake. Juzi nasikia anaongea na ndugu zake kuwa atarudi hadi pasaka iishe jamani mwezi na siku kadhaa na analala kitandani bila aibu.
Anaogopa kumwambia mumewe atahisi anamchukia mama yake na hivyo anataka jumamosi kuondoka kwenda kwao Morogoro ila mkwe haoneshi hata dalili ya kuondoka; kasema kama haukai sana utanikuta.
Hebu mshaurini mdogo wangu jamani.
Mi ningemuaga mume kuwa naenda nyumbani,basi!Wana sisi wazima huku najua hakuna fujo sana, na kuna watu makini wa kunisaidia.
Wapenzi,
Nina mdogo wangu ana kama miaka 26, kaolewa na mtu wa Dodoma. Naishi nae karibu kama nyumba 5 kutoka kwangu amepanga chumba kimoja self container.
Sasa kama mwezi mkwewe alikuja kumsalimu.
Na alisema anakaa siku 3. Jamani, hadi leo mume wake analala kwa marafiki zake. Juzi nasikia anaongea na ndugu zake kuwa atarudi hadi pasaka iishe jamani mwezi na siku kadhaa na analala kitandani bila aibu.
Anaogopa kumwambia mumewe atahisi anamchukia mama yake na hivyo anataka jumamosi kuondoka kwenda kwao Morogoro ila mkwe haoneshi hata dalili ya kuondoka; kasema kama haukai sana utanikuta.
Hebu mshaurini mdogo wangu jamani.
Duh kitambo snmama mkwe jamani kama mwanaume yupo comfortable basi vumilia tu
Mchana wa ibada waende wote church then wapate dharura mama akirudi jogoo lishawika dodoma.Afternoon ya ibadaAisee pole kwa mdogoo wako,ni pagumu sana hapo lakini hao wawili, yani mke na mume ni swala ambalo lipo ndani ya uwezo wao so inabidi wajadili in a positive way naamini watafkia mahali pazuri tuu
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kweli makabila tunatofautiana mila
Kwetu mzazi wako hathubutu kulalia kitanda ambacho mwanae analala na mumewe au mkewe
Mama mkwe kakosa ustaarabu
Mume nae hajitambui
Ila kwa vile huuo ni mzazi wavumilie tu
Mpaka siku hamu zitakapowakaba wakatafuta pa kupunguza fasta fasta
Kama wana ndugu wengine mjini basi wamwambie azungukie wengine kuwasalimia abgalau watapata wasaa wa faragha
Mama bado hajaondoka, sisi wanae tupo nyuma yake.. mpaka kieleweke watahama wao aidha waende kijijini wao au wakapange sehem nyingine