Mama mkwe ana mwezi hana dalili ya kuondoka, chumba kimoja, nimemmisi mume wangu

Mama mkwe ana mwezi hana dalili ya kuondoka, chumba kimoja, nimemmisi mume wangu

nakuuliza ww a.rahabu, walimkaribisha wao au?,je, mama yupo hapo kimatibabu au? kama jibu hapana, basi mke anaweza kukaa na mme faragha kwa hekima,na unynykvu na mme ndo amweleze mama
 
Wana sisi wazima huku najua hakuna fujo sana.

Na kuna watu makini wa kunisaidia.

Wapenzi nnamdogo angu ana kama 26 kaolewa na mtu wa Dodoma. Naishi nae karibu kama nyumba 5 kutoka kwangu amepanga chumba1 self containal.

Sasa kama mwezi mkwewe alikuja kumsalimu.

Na alsema anakaa siku3 jamani had leo mumewake analala kwa marafiki zake juzi nasikia anaongea na ndugu zake kuwa atarudi hadi pasaka iishe jamani mwezi na siku kadhaa na analala kitandani bila aibu.

Anaogopa kumwambia mumewe atahisi anamchukia mama yake na hivyo anataka jumamosi kuondoka kwenda kwao morogoro ila mkwe haoneshi hata. Kuondoka kasema kama haukaisana utanikuta.
Hebu mshaurin mdogo angu jamani.

Samahani kama itawakera,wazazi kabila la wagogo wanatabia hii sana.
 
Fungeni safari ya kwenda kusalimia huko kwao Dodoma mbebe na mapochopocho halafu muende naye mumuache huko.
 
Wana sisi wazima huku najua hakuna fujo sana, na kuna watu makini wa kunisaidia.

Wapenzi,

Nina mdogo wangu ana kama miaka 26, kaolewa na mtu wa Dodoma. Naishi nae karibu kama nyumba 5 kutoka kwangu amepanga chumba kimoja self container.


Sasa kama mwezi mkwewe alikuja kumsalimu.

Na alisema anakaa siku 3. Jamani, hadi leo mume wake analala kwa marafiki zake. Juzi nasikia anaongea na ndugu zake kuwa atarudi hadi pasaka iishe jamani mwezi na siku kadhaa na analala kitandani bila aibu.

Anaogopa kumwambia mumewe atahisi anamchukia mama yake na hivyo anataka jumamosi kuondoka kwenda kwao Morogoro ila mkwe haoneshi hata dalili ya kuondoka; kasema kama haukai sana utanikuta.

Hebu mshaurini mdogo wangu jamani.
Pole sana
 
Wana sisi wazima huku najua hakuna fujo sana, na kuna watu makini wa kunisaidia.

Wapenzi,

Nina mdogo wangu ana kama miaka 26, kaolewa na mtu wa Dodoma. Naishi nae karibu kama nyumba 5 kutoka kwangu amepanga chumba kimoja self container.


Sasa kama mwezi mkwewe alikuja kumsalimu.

Na alisema anakaa siku 3. Jamani, hadi leo mume wake analala kwa marafiki zake. Juzi nasikia anaongea na ndugu zake kuwa atarudi hadi pasaka iishe jamani mwezi na siku kadhaa na analala kitandani bila aibu.

Anaogopa kumwambia mumewe atahisi anamchukia mama yake na hivyo anataka jumamosi kuondoka kwenda kwao Morogoro ila mkwe haoneshi hata dalili ya kuondoka; kasema kama haukai sana utanikuta.

Hebu mshaurini mdogo wangu jamani.
Mi ningemuaga mume kuwa naenda nyumbani,basi!

Hata huyo mama Hana akili huwezi kwenda Kwa mwanao eti kusakimia na ana chumba kimoja
 
Aisee pole kwa mdogoo wako,ni pagumu sana hapo lakini hao wawili, yani mke na mume ni swala ambalo lipo ndani ya uwezo wao so inabidi wajadili in a positive way naamini watafkia mahali pazuri tuu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mchana wa ibada waende wote church then wapate dharura mama akirudi jogoo lishawika dodoma.Afternoon ya ibada
 
Faragha hata guest house wanapata kama ni Kazi jifanye unaenda kutibiwa mwite wife mle mapema kabla ya chakula cha jioni
Kweli makabila tunatofautiana mila
Kwetu mzazi wako hathubutu kulalia kitanda ambacho mwanae analala na mumewe au mkewe

Mama mkwe kakosa ustaarabu
Mume nae hajitambui

Ila kwa vile huuo ni mzazi wavumilie tu

Mpaka siku hamu zitakapowakaba wakatafuta pa kupunguza fasta fasta

Kama wana ndugu wengine mjini basi wamwambie azungukie wengine kuwasalimia abgalau watapata wasaa wa faragha
 
Kama unaoa na huna uwezo wa kupokea wageni ni heri usioe.
Kuingia kwenye ndoa ni ukubwa huwezi kuendelea kuishi kama bachelor.
 
Back
Top Bottom